CCM tokeni hadharani Mlaani kauli ya Kapteni Tesha

CCM tokeni hadharani Mlaani kauli ya Kapteni Tesha

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,664
Reaction score
59,108
Chama changu CCM kimenisikitiisha sana.

Kwanini wameshindwa kutoka hadharani kulaani kauli za uchochezi za kuvunja amani ya Nchi za Kapteni Tesha?

Yaani hata Murilo Kaufyata!?

Ni huzuni

Huyu afande anasema yoyote ajitokeze alite fyefyefye au fyofyofyo.. Anasema wapo kwaajili ya kulinda Nchi
 
Kazi kazi
 
Back
Top Bottom