Wakuu, CCM sina hamu nao, Maji hakuna, Umeme bei juu tena unapatikana kwa shida, Shule za kayumba walimu hakuna, vitabu hakuna, Nikiumwa hospitali hazina dawa, Mchele bei juu, Sukari bei juu, Usafiri ni balaa, Vifaa vya ujenzi bei juu siwezi kununua - - naombeni ushauri watanzania wenzangu wapi pa kukimbilia!! nimedata mwenzenu.