GE2025 CCM Simiyu yalalamikiwa kuwala kichwa watia nia ya udiwani maswa

GE2025 CCM Simiyu yalalamikiwa kuwala kichwa watia nia ya udiwani maswa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mwanantogakulya

Senior Member
Joined
Mar 18, 2025
Posts
130
Reaction score
118
Wanachama wa CCM wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu ambao walikuwa watia nia ya udiwani kutoka Kata mbalimbali wamelalamikia kukatwa majina yao na kupuuzwa kwa maagizo ya CCM Taifa juu ya kurejeshwa kwa majina yao.

20250802_231738.jpg
20250802_231710.jpg
20250802_231616.jpg
 

Attachments

  • 20250802_231559.jpg
    20250802_231559.jpg
    176.2 KB · Views: 18
  • 20250802_231758.jpg
    20250802_231758.jpg
    186.6 KB · Views: 17
Wanachama wa CCM wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu ambao walikuwa watia nia ya udiwani kutoka Kata mbalimbali wamelalamikia kukatwa majina yao na kupuuzwa kwa maagizo ya CCM Taifa juu ya kurejeshwa kwa majina yao.
Wenye pesa walizuia walizuia hawataki ushidani wa kweli
 
Back
Top Bottom