Ushindwe kushawishiwa na wanasiasa huko majukwaani uje ushawishie hapa? Anyway kuna vyama vingine vingi tu UDP, ACT Wazalendo, TLP, n.k.
Chagua Magufuli, binafsi nina imani anaenda fumua mfumo wa sisiemu wa sasa kwa sababu ya fundisho walilolipata sasa kuwa watu wanataka mabadiliko. Magufuli kama Magufuli ni mtu wa kumwamini, nikimuangalia machoni ni mtu anayemaanisha kitu anachokisema. Lowasa ameshaonesha kuwa hana msimamo.
CHAGUA JPM kwa ajili ya Tanzania mpya, Mwalimu JK alisema watanzania wasipopata mabadiliko ndani ya sisiemu basi watayatafuta hayo mabadiliko nje ya sisiemu, Maana yake uwezekano wa kupata hayo mabadiliko ndani ya sisiemu inawezekana, na ktk wagombea wote wa sisiemu waliopita, Mkapa alipigiwa debe na Nyerere, Kikwete alikuwa na nyota ya 'usupa star yaani kama rock star', watu walitokea tu kumpenda na pia slogan yake ya maisha bora kwa kila mtanzania iliamsha watu, ila kiukweli Kikwete alibebwa na 'usupa star', ILA HALI NI TOFAUTI KWA MAGUFULI, KAJIBEBA MWENYEWE NA HAMNA ALIYEMBEBA ASILIMIA KUBWA, WAKUBWA WENGI KAMA WARIOBA WANAOTUSHAWISHI TUMCHAGUE MAGUFULI NI KWA SABABU AMEONA NA TUMEONA UADILIFU WAKE NA UCHAPA KAZI WAKE, HII HAINA UBISHI PIA NI MCHA MUNGU, ANAMUOGOPA MUNGU HIVYO ASEMACHO ANAMAANISHA HATA KTK BODY LANGUAGE YAKE,
Ndugu yangu fanya maamuzi sahihi, chagua Magufuli.
Km mie ila kubwa mama tz hivyo ukombozi kwanza ss mengine yatafuata ccm siitaki kabisa na Lowasa simpendi ila pombe anaingia hatiani kwa ajili hiyo tu
Nyerere alipoomba uhuru kwa waingereza aliwaambia watanganyika kua tunaomba uhuru kwa waingereza wasipo tupatia,tutamwomba mungu atusadie ,na tusipo pata tutamwomba hata shetani atusaidie mana shida yetu ni uhuru wa tanganyikaaa
Si wenyewe hatukuamini.
Ushindwe kushawishiwa na wanasiasa huko majukwaani uje ushawishie hapa? Anyway kuna vyama vingine vingi tu UDP, ACT Wazalendo, TLP, n.k.
Nawashauri mchague lowasa ,ni heri umchague usiemwamini kuliko unaemchukia,na uzuri ushasema unataka mabadiliko na yapo chadema c ccm Mkuu ,kumbuka ni rahisi kufanya kazi na mtu usie mwamini kuliko usie mpenda!!
Chagua Magufuli, binafsi nina imani anaenda fumua mfumo wa sisiemu wa sasa kwa sababu ya fundisho walilolipata sasa kuwa watu wanataka mabadiliko. Magufuli kama Magufuli ni mtu wa kumwamini, nikimuangalia machoni ni mtu anayemaanisha kitu anachokisema. Lowasa ameshaonesha kuwa hana msimamo.
CHAGUA JPM kwa ajili ya Tanzania mpya, Mwalimu JK alisema watanzania wasipopata mabadiliko ndani ya sisiemu basi watayatafuta hayo mabadiliko nje ya sisiemu, Maana yake uwezekano wa kupata hayo mabadiliko ndani ya sisiemu inawezekana, na ktk wagombea wote wa sisiemu waliopita, Mkapa alipigiwa debe na Nyerere, Kikwete alikuwa na nyota ya 'usupa star yaani kama rock star', watu walitokea tu kumpenda na pia slogan yake ya maisha bora kwa kila mtanzania iliamsha watu, ila kiukweli Kikwete alibebwa na 'usupa star', ILA HALI NI TOFAUTI KWA MAGUFULI, KAJIBEBA MWENYEWE NA HAMNA ALIYEMBEBA ASILIMIA KUBWA, WAKUBWA WENGI KAMA WARIOBA WANAOTUSHAWISHI TUMCHAGUE MAGUFULI NI KWA SABABU AMEONA NA TUMEONA UADILIFU WAKE NA UCHAPA KAZI WAKE, HII HAINA UBISHI PIA NI MCHA MUNGU, ANAMUOGOPA MUNGU HIVYO ASEMACHO ANAMAANISHA HATA KTK BODY LANGUAGE YAKE,
Ndugu yangu fanya maamuzi sahihi, chagua Magufuli.
Chagua Magufuli ndg. Usipoteze muda wako na wachaga hao.
Chagua Magufuli, binafsi nina imani anaenda fumua mfumo wa sisiemu wa sasa kwa sababu ya fundisho walilolipata sasa kuwa watu wanataka mabadiliko. Magufuli kama Magufuli ni mtu wa kumwamini, nikimuangalia machoni ni mtu anayemaanisha kitu anachokisema. Lowasa ameshaonesha kuwa hana msimamo.
CHAGUA JPM kwa ajili ya Tanzania mpya, Mwalimu JK alisema watanzania wasipopata mabadiliko ndani ya sisiemu basi watayatafuta hayo mabadiliko nje ya sisiemu, Maana yake uwezekano wa kupata hayo mabadiliko ndani ya sisiemu inawezekana, na ktk wagombea wote wa sisiemu waliopita, Mkapa alipigiwa debe na Nyerere, Kikwete alikuwa na nyota ya 'usupa star yaani kama rock star', watu walitokea tu kumpenda na pia slogan yake ya maisha bora kwa kila mtanzania iliamsha watu, ila kiukweli Kikwete alibebwa na 'usupa star', ILA HALI NI TOFAUTI KWA MAGUFULI, KAJIBEBA MWENYEWE NA HAMNA ALIYEMBEBA ASILIMIA KUBWA, WAKUBWA WENGI KAMA WARIOBA WANAOTUSHAWISHI TUMCHAGUE MAGUFULI NI KWA SABABU AMEONA NA TUMEONA UADILIFU WAKE NA UCHAPA KAZI WAKE, HII HAINA UBISHI PIA NI MCHA MUNGU, ANAMUOGOPA MUNGU HIVYO ASEMACHO ANAMAANISHA HATA KTK BODY LANGUAGE YAKE,
Ndugu yangu fanya maamuzi sahihi, chagua Magufuli.
Nyerere alipoomba uhuru kwa waingereza aliwaambia watanganyika kua tunaomba uhuru kwa waingereza wasipo tupatia,tutamwomba mungu atusadie ,na tusipo pata tutamwomba hata shetani atusaidie mana shida yetu ni uhuru wa tanganyikaaa
Wewe hujui kuwa JPM atakuwa chini ya MWONGOZO wa MWENYEKITI (JK) mpaka 2017? au hujui hii maana yake nini kwa ccm?
CCM lazima wamweke 'sawa' RAIS mpya kabla hajawaharibia mambo yao. JPM hatakuwa na MENO ya kubadili mfumo wa CCM - Kama bado hujaelewa, JK ndie boss wa ccm mpaka 2017. Na Rais anawajibishwa na Chama chake (ndio maana wanasema "Serikali ya CCM")
Wewe hujui kuwa JPM atakuwa chini ya MWONGOZO wa MWENYEKITI (JK) mpaka 2017? au hujui hii maana yake nini kwa ccm?
CCM lazima wamweke 'sawa' RAIS mpya kabla hajawaharibia mambo yao. JPM hatakuwa na MENO ya kubadili mfumo wa CCM - Kama bado hujaelewa, JK ndie boss wa ccm mpaka 2017. Na Rais anawajibishwa na Chama chake (ndio maana wanasema "Serikali ya CCM")
Ni kwa muda tu atakuwa mwenyekiti, ila rais wa nchi haongozwi na mwenyekiti wa chama. Huu ndo ukweli na Magufuli sio puppet type.
Kanuni ya mafanikio maishani ni kujaribu kitu tofauti, na sasa tunapaswa kuchagua ukawa /Lowasa kwa vile ccm tumeshaogozwa nayo kwa miaka mingi tayari. Baada ya miaka tuseme kumi hivi tutawaondoa ukawa/cdm. Cha msingi kusiwe na chama kudumu madarakani
Ikatokea rais kafanya yake kama katiba inavyomruhusu, nafasi ya mwenyekiti wa chama iko wapi hapo? Anamuwajibishaje? Kwa nguvu yake ya turufu ya huyo mwenyekiti au kwa njia ya vote of no confidence? Sioni wanafiki wengi ndani ya sisiemu ya Magufuli.