Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,477
- 2,651
Sio kweli, ccm walipoteza dira kwa kufuta azimio LA ARUSHA na kutengeza azimio LA ZANZIBAR ambalo lilifuta maadili kwa viongozi na kuuza Tanzania yetu kwa majiziUkizisoma sheria na taratibu za chama cha mapinduzi unaweza kukuta hakuna chama kizuri kama ccm. Ila watu wake sijui wamelogwa na nani
Ndo umejua leo.Wasalaam, ccm chama dola chama tawala tokea uhuru kimefika hatamu kimechoka kinaongoza kwa nguvu za vyombo vya dola na kutumia nguvu kubwa dhidi ya RAIA wa Tanzania.
Kwanini nasema haya,;
1.ccm ndicho chama kilichotuingiza watanzania kwenye mikataba ya makaburi hasa ktk umeme na gesi. Pale kuna mikataba ya miaka hadi99 huku serikali ikipata 3% ktk 100%. Hii ni mikataba ya hovyo hata babu zetu wakati wakitawaliwa na mkoloni hawajawahi ingia na kusaini.
2.ccm ambao ni mabigwa wa ulaghai, walishirikiana wao na wezi kuchota pesa hazina ambazo ni kodi za wavuja katika ufisadi wa kutisha wa Richmond, epa, tegeta escrow, arv feki, barabara kujengwa chini ya viwango na kuharibika ndani ya muda mfupi.
3.ccm wameongoza kwa kuvunja katba walioipotisha wenyewe, kufanya siasa za kibaguzi kwa kuzuia vyama vingine vya siasa kufanya siasa, kuibuka mauji ya viongozi wa kisiasa wa upinzani, utekaji na kupotezwa kwa kila anaowakosoa na kuwapinga.
4.kuingilia vyombo vya habari, uhuru wa kuongea kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba, kuzuia bunge live, mahakama kutokuwa huru, kuibuka kwa kundi LA wauaji na watesi dhidi ya RAIA ambao ccm wamewabatiza jina WATU WASIOJULIKANA ili hali tuna vyombo vya dola km tiss, jeshi imara, police, magereza na uhamiaji. Kweli km taifa tumeshindwa kuwajua watu wasiojulikana? Kwa kweli inasikitisha tumepoteza utaifa, kwani siku zote kubomoa ni rahisi kuliko kujenga. Nanukuu maneno ya marehemu HORACE KOLIMBA katibu wa ccm aliwahi kusema, nanukuu," CCM IMEPOTEZA DIRA. je alikurupuka au maneno yake yanaishi?
Hawa ndio waliosaini mikataba ya hovyo?! Hopeless kabisa.Maana yake ni hii. Je hawa wanaaminika?
Haya mambo kabla ya kuandika kwanza ungetaka ushauri wa mchungaji Msigwa kabla ya kututapikia hapa....halafu pia ungewasiliana na watuhumiwa wa ufisadi waliokimbia ccm ma kukimbilia chademaa..hahahah...chama cha mafisudi...karne hii tutaona mengiWasalaam, ccm chama dola chama tawala tokea uhuru kimefika hatamu kimechoka kinaongoza kwa nguvu za vyombo vya dola na kutumia nguvu kubwa dhidi ya RAIA wa Tanzania.
Kwanini nasema haya,;
1.ccm ndicho chama kilichotuingiza watanzania kwenye mikataba ya makaburi hasa ktk umeme na gesi. Pale kuna mikataba ya miaka hadi99 huku serikali ikipata 3% ktk 100%. Hii ni mikataba ya hovyo hata babu zetu wakati wakitawaliwa na mkoloni hawajawahi ingia na kusaini.
2.ccm ambao ni mabigwa wa ulaghai, walishirikiana wao na wezi kuchota pesa hazina ambazo ni kodi za wavuja katika ufisadi wa kutisha wa Richmond, epa, tegeta escrow, arv feki, barabara kujengwa chini ya viwango na kuharibika ndani ya muda mfupi.
3.ccm wameongoza kwa kuvunja katba walioipotisha wenyewe, kufanya siasa za kibaguzi kwa kuzuia vyama vingine vya siasa kufanya siasa, kuibuka mauji ya viongozi wa kisiasa wa upinzani, utekaji na kupotezwa kwa kila anaowakosoa na kuwapinga.
4.kuingilia vyombo vya habari, uhuru wa kuongea kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba, kuzuia bunge live, mahakama kutokuwa huru, kuibuka kwa kundi LA wauaji na watesi dhidi ya RAIA ambao ccm wamewabatiza jina WATU WASIOJULIKANA ili hali tuna vyombo vya dola km tiss, jeshi imara, police, magereza na uhamiaji. Kweli km taifa tumeshindwa kuwajua watu wasiojulikana? Kwa kweli inasikitisha tumepoteza utaifa, kwani siku zote kubomoa ni rahisi kuliko kujenga. Nanukuu maneno ya marehemu HORACE KOLIMBA katibu wa ccm aliwahi kusema, nanukuu," CCM IMEPOTEZA DIRA. je alikurupuka au maneno yake yanaishi?
Hahahah Zito Kabwe aliwaambia. Msiwaamini wanasiasa hasa hasa wa upinzani..ni bora uunge mkono chama tawala kinachopambana na mafisadi ambao wengi wao wamekimbilia chademaaa..na kusafishwaIN SHORT KUWAAMINI WANASIASA INAHITAJI UWE NA AKILI ZA KUSHIKIWA SI LUMUMBA SI UFIPA
Hahahahahah sindano zimeingiaaaa...Yaani Ufipa watakuwa wamejaa wa p.. maana mtu anatoa mada kama katoka usingizini.
Hebu atwambie nini cha kutuaminisha kutoka upinzani hasa CDM kwanza kumbe
sasa muone aibu ni bora kukaa na hiki kilicho chakaa kuliko mliochoka kwa taamaa binafsi, CCM oyeeeeee hadi mwaka 3020
- Kiongozi wao mkuu halipagi kodi kabisa.
- wafadhili wamechanga weee ili ofisi ijengwe lakini mkuu wenu wenyewe mnajua, Ufipa aibu
- Viongozi wakuu wanausika na madawa ya kulevya
- Katiba imechezewa na hakuna democrasia ndani, tena ukimgusa mkuu au kutofautiana naye umefukuzwa.
- wanalolisema leo sio watakalolisema kesho
- chama kina mwenyekiti wa maisha kama Kamuzu Banda na Mobutu Seseko
- Akili imegota mnafundishwa kususa na maandamano tu.
- Kwa sababu za uchu wa madaraka mkawa tayari kuuza chama
mtachukua vumilieni kwa tabia zenu.
Hazungumzii Chadema anazungumzia CCMMaana yake ni hii. Je hawa wanaaminika?