Elections 2015 CCM si wa kuwaamini, wapumzishwe sasa

Ukizisoma sheria na taratibu za chama cha mapinduzi unaweza kukuta hakuna chama kizuri kama ccm. Ila watu wake sijui wamelogwa na nani
Sio kweli, ccm walipoteza dira kwa kufuta azimio LA ARUSHA na kutengeza azimio LA ZANZIBAR ambalo lilifuta maadili kwa viongozi na kuuza Tanzania yetu kwa majizi
 
Ndo umejua leo.
 
Tukimaliza kujadili hili tutaamia thread yenye title " ili uwe Chadema yakupasa kuwa Mnyonge" huko ni kulia lia kwa kila kitu...
 
IN SHORT KUWAAMINI WANASIASA INAHITAJI UWE NA AKILI ZA KUSHIKIWA SI LUMUMBA SI UFIPA
 
Haya mambo kabla ya kuandika kwanza ungetaka ushauri wa mchungaji Msigwa kabla ya kututapikia hapa....halafu pia ungewasiliana na watuhumiwa wa ufisadi waliokimbia ccm ma kukimbilia chademaa..hahahah...chama cha mafisudi...karne hii tutaona mengi
 
IN SHORT KUWAAMINI WANASIASA INAHITAJI UWE NA AKILI ZA KUSHIKIWA SI LUMUMBA SI UFIPA
Hahahah Zito Kabwe aliwaambia. Msiwaamini wanasiasa hasa hasa wa upinzani..ni bora uunge mkono chama tawala kinachopambana na mafisadi ambao wengi wao wamekimbilia chademaaa..na kusafishwa
 
Hahahahahah sindano zimeingiaaaa...
 
Sisomi hata dhima ya uzi zako kwa vile hii thread ungeileta mwaka 1992.
Unaleta thread ambayo wenzio washasema hawatoki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…