Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,423
- 2,587
Sio kweli, ccm walipoteza dira kwa kufuta azimio LA ARUSHA na kutengeza azimio LA ZANZIBAR ambalo lilifuta maadili kwa viongozi na kuuza Tanzania yetu kwa majiziUkizisoma sheria na taratibu za chama cha mapinduzi unaweza kukuta hakuna chama kizuri kama ccm. Ila watu wake sijui wamelogwa na nani