WanaCCm wa shinyanga wameshatangaza kuwa Kikwete ndio mgobea pekee wa CCM mkoani humo according to Katibu wa CCM mkoani humo ,Mohamed Mbonde!Tatizo kubwa la shinyanga na mikoa mingi ,watu kama akina Mbonde i guess ni watu wa kuja,hawana passion ya maendeleo ya mkoa.I guess Mh Shibuda he cares about Shinyanga than this unknown Mr Mbonde.