wanashambuliana kwa zamu na huu umekuwa kama utaratibu wao. Kina Bushiri na mzee polepole walifanya hivyo hivyo kuwasurubu wazee wastaafu wa chama, kina nape nk Sasa leo imemgeukia mzee Bushiru na yeye anashambuliwa kila kona.
Kifupi tu watanzania ni kwamba chama kama hiki je unategemea kuna maendeleo kweli?