Isayalussy11
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 695
- 1,058
Ok! Nikuache na Rais wako wa jf!Kwa Tundu Lissu weka Magufuli alafu malizia atarudi Chato
Ok! Nikuache na Rais wako wa jf!Kwa Tundu Lissu weka Magufuli alafu malizia atarudi Chato
Ndo raisi wako wa Tanzania 2020- 2025Ok! Nikuache na Rais wako wa jf!
Toa Tanzania weka Jf!Ndo raisi wako wa Tanzania 2020- 2025
Kataa kubali Ila ndo ukweli huo. Historia kuu inaandikwa Tanzania mwaka huuToa Tanzania weka Jf!
Ok sawa ! Ccm iondoke tukipe chama gani kiongoze nchi hii ? Mnafikili mnamka tu na kushinda uchaguzi!, Kwa mikakati ipi?, yaani nch ya watu mli 60 iipe saccoss iongoze nchi! Em kuweni serious nyie nyumbu!.
NAWAKUMBUSHA TU WAKUU.
Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
MIAKA 60 YA UHURU.
CCM imetufikisha hapa
Fact! Watambue kushinda uchaguzi inahitaji strategy ya mda mrefu! Sio kuota kuwa utashinda uchaguzi ! Never.!
Mkuu, hizo nimezielewa vema, ijapokuwa hazifafanuliwi vizuri zikaeleweka Kwa wananchi, mfano Ile Sera ya majimbo, haijaeleweka mpaka sasa ingawa ni Nzuri SanaSera ya Bima ya Afya
Sera ya kubadili mfumo wa Elimu
Sera ya kukuza uchumi kwa kipaumbele cha Sekta Binafsi
Sera ya Kuleta mswada wa Haki ya Mlipa kodi
Sera ya kuboresha mazingira ya uwekezaji na wafanyabiashara Tanzania
Sera ya kutoingilia biashara ya mazao kwa wakulima
Sera ya Katiba Mpya
Sera ya Mfumo mpya wa utawala wa Majimbo
Ndugu, hakuna kama Chadema, hata wewe nakushauri chagua Chadema mwaka huu!
Umemaliza kuandika? Haya, nenda kalale. Upuuzi wako utakujia ndotoni.Aje Chama gani na mtu wa hicho Chama ni Nani?
Maana waliopo wameanzisha Sera ngumu na imewashinda hata wao kuitafsiri ili ilete uhalisia
Sera ya kukataa maendeleo ya vitu na badala yake iwe ni maendeleo ya watu?
Hii Sera yenu hii inawaharibia Sana maana hamuifafanui vema na haieleweki
Kwamba hamtaki barabara ila mnataka magari wananchi wawe Nayo!
Hamtaki ndege, Ila Dubai wananchi waende kufuata biashara!
Hamtaki njia iwepo treni, Ila mnataka mizigo iende zambia, Lwanda, Kongo, burundi, n.k !
Hamtaki kujengwe hospital Ila wananchi mnataka waende Hospital kutibiwa siyo?
Hamtaki ujenzi wa shule, Ila mnataka watoto waende shule kusoma? Daah, sasa sjui waende shule kufanya nini sasa
Nyie ni wa kupuuzwa Sana nyinyi na nahisi sasa mmechoka kutumia akili zenu
Kiu yangu CCM impumzike.Heshimuni sanduku la kura,kubalini matokeo.Wizi wa kura haukubaliki!Watu wengi wanapenda tu Kuandika 'mabaya' tu kuihusu CCM na Kuonyesha 'Chuki' zao, ila hawatupi 'Mikakati' madhubuti ya Vyama vyao Pinzani.