CCM sasa basi imetosha, ondokeni hatutaki longolongo

CCM sasa basi imetosha, ondokeni hatutaki longolongo

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
2,175
Reaction score
4,179
Msitafute kuondolewa kwa nguvu mnatakiwa muwaelewe wananchi ya kwamba wanataka mageuzi ya kuongozwa,hawataki tena kutawaliwa na CCM wanataka kuongozwa na Vyama vingine.

Msiwalazimishe wananchi kuwapigia kura kwa nguvu ,kubalini kistaarabu ,wananchi wataona yupi mkweli na anaefaa chaguzi ni kila baada ya miaka mitano mmeshakaa miaka zaidi ya 53,wacheni uchaguzi uchukue mkondo wake,nimemsikia Magufuli akijitenga na mbinu za dhulma za tume ya uchaguzi ,kwa kusema wananchi amkeni asubuhi mkanipige kura,msitegemee atashinda tu.

Anamaanisha mbinu za tume ya uchaguzi zikifeli ndio mwisho wa utawala wake kwa miaka mitano sio kidogo,wengine hata mmoja haufiki.
 
Aje Chama gani na mtu wa hicho Chama ni Nani?

Maana waliopo wameanzisha Sera ngumu na imewashinda hata wao kuitafsiri ili ilete uhalisia

Sera ya kukataa maendeleo ya vitu na badala yake iwe ni maendeleo ya watu?

Hii Sera yenu hii inawaharibia Sana maana hamuifafanui vema na haieleweki

Kwamba hamtaki barabara ila mnataka magari wananchi wawe Nayo!

Hamtaki ndege, Ila Dubai wananchi waende kufuata biashara!

Hamtaki njia iwepo treni, Ila mnataka mizigo iende zambia, Lwanda, Kongo, burundi, n.k !

Hamtaki kujengwe hospital Ila wananchi mnataka waende Hospital kutibiwa siyo?

Hamtaki ujenzi wa shule, Ila mnataka watoto waende shule kusoma? Daah, sasa sjui waende shule kufanya nini sasa

Nyie ni wa kupuuzwa Sana nyinyi na nahisi sasa mmechoka kutumia akili zenu
 
Ok sawa ! Ccm iondoke tukipe chama gani kiongoze nchi hii ? Mnafikili mnamka tu na kushinda uchaguzi!, Kwa mikakati ipi?, yaani nch ya watu mli 60 iipe saccoss iongoze nchi! Em kuweni serious nyie nyumbu!.
 
NAWAKUMBUSHA TU WAKUU.

Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
MIAKA 60 YA UHURU.

CCM imetufikisha hapa
 
Watu wengi wanapenda tu Kuandika 'mabaya' tu kuihusu CCM na Kuonyesha 'Chuki' zao, ila hawatupi 'Mikakati' madhubuti ya Vyama vyao Pinzani.
Fact! Watambue kushinda uchaguzi inahitaji strategy ya mda mrefu! Sio kuota kuwa utashinda uchaguzi ! Never.!
 
NAWAKUMBUSHA TU WAKUU.

Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
MIAKA 60 YA UHURU.

CCM imetufikisha hapa
Na ndiyo maana Kwa hasira tu, hatumtaki huyo kimvuli cha Mabeberu, Kwa sababu tunajua yaliyonyuma yake, ni pamoja na Kampeni hizo za mabeberu!

Wanadhani Sisi ni watu haiba ya wakongo? Wanachonganishwa na vijitaifa vya hovyo kabisa na kuporwa rasilimali zao nao Wapo Tu,

Tunajitambua, tunajua kila Mbinu ovu, na hizo ni Mbinu ovu za kutunyong'onyesha Sisi ili tu kiongozi shupavu kama Magufuli tusimpe Kura na baada ya hapo wao wafanye watakavyo

Tutampa tena Magufuli, hata wakiishusha nchi yetu ikawa ndio ya Kwanza katika bad poores tCountry
 
Aje Chama gani na mtu wa hicho Chama ni Nani?

Maana waliopo wameanzisha Sera ngumu na imewashinda hata wao kuitafsiri ili ilete uhalisia

Sera ya kukataa maendeleo ya vitu na badala yake iwe ni maendeleo ya watu?

Hii Sera yenu hii inawaharibia Sana maana hamuifafanui vema na haieleweki

Kwamba hamtaki barabara ila mnataka magari wananchi wawe Nayo!

Hamtaki ndege, Ila Dubai wananchi waende kufuata biashara!

Hamtaki njia iwepo treni, Ila mnataka mizigo iende zambia, Lwanda, Kongo, burundi, n.k !

Hamtaki kujengwe hospital Ila wananchi mnataka waende Hospital kutibiwa siyo?

Hamtaki ujenzi wa shule, Ila mnataka watoto waende shule kusoma? Daah, sasa sjui waende shule kufanya nini sasa

Nyie ni wa kupuuzwa Sana nyinyi na nahisi sasa mmechoka kutumia akili zenu
Wewe ndo hujaelewa Sera ya Chadema. Hivyo Embu acha kutufokea!!

Tunamtoa Magufuli mwaka huu na Tunamweka Tundu Antphas Lissu na Chadema. Kwani kuna shida yeyote??? Wananchi ndo tumeshaamua sasa
 
Wewe ndo hujaelewa Sera ya Chadema. Hivyo Embu acha kutufokea!!

Tunamtoa Magufuli mwaka huu na Tunamweka Tundu Antphas Lissu na Chadema. Kwani kuna shida yeyote??? Wananchi ndo tumeshaamua sasa
Hahaaahaaa!!
Mkuu, tukiwa tunaweka tu viongozi bila kujali Sera na maono juu ya Taifa letu, ni kujiumiza Sisi wananchi

Yaani tuwaweke tu Wakati Sera zao hazieleweki!!

Wewe, unaelewa nini kuhusu maendeleo ya vitu na watu?

Sio kukataa kabisa kila Aina ya Miradi ingawa tunataka maisha Bora mkuu?

Basi tumia nafasi hii unishawishi mkuu
 
Uchaguzi ungekuwa unafanyikia humu jamii forum,upinzani ungekuwa ulishashika dora tokea 2005!
 
Hahaaahaaa!!
Mkuu, tukiwa tunaweka tu viongozi bila kujali Sera na maono juu ya Taifa letu, ni kujiumiza Sisi wananchi

Yaani tuwaweke tu Wakati Sera zao hazieleweki!!

Wewe, unaelewa nini kuhusu maendeleo ya vitu na watu?

Sio kukataa kabisa kila Aina ya Miradi ingawa tunataka maisha Bora mkuu?

Basi tumia nafasi hii unishawishi mkuu
Sasa kati ya Chadema na utopolo Ccm nani wana sera Nzuri na maono mazuri???😂😂😂

Kweli CCM mmenyimwa akili kwa kweli!
 
Endelea tu kuishi kwa akili ya zamani. Mtajua hamjui mwaka huu
Wewe ndo unaish kwa akili ya zamani ! Ni mara ngap mmekua mkisema mtashind uchaguzi ! Mnaangukia pua?. Huyo Tundu wenu wenu ajiandae tu baada 28 oct arud kwao ubelgiji kwa waliomtuma ! Kushinda Urais asahau!
 
Wewe ndo unaish kwa akili ya zamani ! Ni mara ngap mmekua mkisema mtashind uchaguzi ! Mnaangukia pua?. Huyo Tundu wenu wenu ajiandae tu baada 28 oct arud kwao ubelgiji kwa waliomtuma ! Kushinda Urais asahau!
Kwa Tundu Lissu weka Magufuli alafu malizia atarudi Chato
 
Sasa kati ya Chadema na utopolo Ccm nani wana sera Nzuri na maono mazuri???😂😂😂

Kweli CCM mmenyimwa akili kwa kweli!
Mkuu, Okey! Fanya sina akili,
Niambie basi Sera hizo nzuri za Chadema, kumbuka tupo kwenye Kampeni, hivyo ni vema ukajikita kukinadi Chama na sio kutoa matusi, ingawa Chama chako Kwa mtusi ni Sawa na mtu na mwanae
 
Mkuu, Okey! Fanya sina akili,
Niambie basi Sera hizo nzuri za Chadema, kumbuka tupo kwenye Kampeni, hivyo ni vema ukajikita kukinadi Chama na sio kutoa matusi, ingawa Chama chako Kwa mtusi ni Sawa na mtu na mwanae
Sera ya Bima ya Afya

Sera ya kubadili mfumo wa Elimu

Sera ya kukuza uchumi kwa kipaumbele cha Sekta Binafsi

Sera ya Kuleta mswada wa Haki ya Mlipa kodi

Sera ya kuboresha mazingira ya uwekezaji na wafanyabiashara Tanzania

Sera ya kutoingilia biashara ya mazao kwa wakulima

Sera ya Katiba Mpya

Sera ya Mfumo mpya wa utawala wa Majimbo

Ndugu, hakuna kama Chadema, hata wewe nakushauri chagua Chadema mwaka huu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom