CCM PLUS TFF: Mnalakujifunza Sasa

guzman_

JF-Expert Member
Jan 27, 2016
1,255
2,073
Kupitia mchezo wa jana Harambee na Taifa Stars bila shaka mnalakujifunza kuwa
1. Kuna mambo yafanywe kama yakitaifa sio chama. Taifa stars ni timu ya Taifa sio chama. Na Taifa limegawanyika katika misingi tofauti ya kichama, dini, makabila n.k kujaribu kuihusisha timu ya Taifa na kundi la watu nimakosa makubwa sana.
2. Mara kadhaa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amekuwa akihusishwa na masuala ya michezo watu wanauliza mkuu wa mkoa kama nani! TFF mnajua huyu jamaa hapendwi na mamilioni ya WaTz bado mnaendelea kuwagawa wananchi kwa maslahi yenu na ndg yenu bwana zero brain.
3. Waziri wa michezo ndio mwenye dhamana na michezo. Huyo atumike ipasavyo kama kwenye uhamasishaji, kutangaza jezi n.k. na si vinginevyo.
NB: Sijawahi kuona furaha waliokuwa nayo ndg zangu hapa downtown baada ya timu ya Taifa kufungwa watu walifunga mpaka bar zikatolewa bure kabisa. Hii ni mbaya haijawahi tokea.
Onyo: Simba acheni mara moja kumtukia huyu mtu sisi mashabiki tunawapa onyo la mwisho.
 
Jana wangeshinda wangesema tunamshukuru flani maana bila yeye tusingeshinda sasa waseme tunamlaumu huyo flani maana bila yeye tungeshinda! Hawa jamaa huwa wanajitoa ufahamu!
 
Siasa nimeanmini ni kitu kibaya sana na tujifunze kuanzia sasa kadiri tunavyoweza kuitenganisha na movements zingine za maendeleo. Yaani unakuta kundi kubwa la watu limeamua kuwashangilia Kenya sio kwa sababu ya kuwachukia stars au kuwapenda harambee bali kwa sababu ya chuki na milengo ya kisiasa!
Waliosema siasa zisiingizwe michezoni, kwenye elimu, majeshini nk waliona mbali aisee.
 
Siasa nimeanmini ni kitu kibaya sana na tujifunze kuanzia sasa kadiri tunavyoweza kuitenganisha na movements zingine za maendeleo. Yaani unakuta kundi kubwa la watu limeamua kuwashangilia Kenya sio kwa sababu ya kuwachukia stars au kuwapenda harambee bali kwa sababu ya chuki na milengo ya kisiasa!
Waliosema siasa zisiingizwe michezoni, kwenye elimu, majeshini nk waliona mbali aisee.
Ila hawa wenzetu kujifunza kwao ni kitendawili kesho tu watarudia haya makosa.. Kwa kweli Timu ya Taifa kutokushangiliwa na wananchi kisa mtu kaingiza siasa ni jambo la aibu sana
 
Kupitia mchezo wa jana Harambee na Taifa Stars bila shaka mnalakujifunza kuwa
1. Kuna mambo yafanywe kama yakitaifa sio chama. Taifa stars ni timu ya Taifa sio chama. Na Taifa limegawanyika katika misingi tofauti ya kichama, dini, makabila n.k kujaribu kuihusisha timu ya Taifa na kundi la watu nimakosa makubwa sana.
2. Mara kadhaa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amekuwa akihusishwa na masuala ya michezo watu wanauliza mkuu wa mkoa kama nani! TFF mnajua huyu jamaa hapendwi na mamilioni ya WaTz bado mnaendelea kuwagawa wananchi kwa maslahi yenu na ndg yenu bwana zero brain.
3. Waziri wa michezo ndio mwenye dhamana na michezo. Huyo atumike ipasavyo kama kwenye uhamasishaji, kutangaza jezi n.k. na si vinginevyo.
NB: Sijawahi kuona furaha waliokuwa nayo ndg zangu hapa downtown baada ya timu ya Taifa kufungwa watu walifunga mpaka bar zikatolewa bure kabisa. Hii ni mbaya haijawahi tokea.
Onyo: Simba acheni mara moja kumtukia huyu mtu sisi mashabiki tunawapa onyo la mwisho.

Me yangu mawili you,
1. Ashi Manula ni golikipa mzuri lakini hajifunzi Na hana consistency. Ukiangalia goli la pili la Kenya Jana Na goli tulilo fungwa na lethoto mjini Matheru ni kosa la Manula kupanchi mpira kuelekea Kwa ashi.

2. Mpira unahusisa kujiamini , Jana ulikuwa ukiangalia tofauti ya Tanzania na Kenya ungetambua Kenya walikua wa kiataki Tanzania Kwa mlengo huku watanzania walitumia haraka zaidi ya mango dhabiti.
 
Me yangu mawili you,
1. Ashi Manula ni golikipa mzuri lakini hajifunzi Na hana consistency. Ukiangalia goli la pili la Kenya Jana Na goli tulilo fungwa na lethoto mjini Matheru ni kosa la Manula kupanchi mpira kuelekea Kwa ashi.

2. Mpira unahusisa kujiamini , Jana ulikuwa ukiangalia tofauti ya Tanzania na Kenya ungetambua Kenya walikua wa kiataki Tanzania Kwa mlengo huku watanzania walitumia haraka zaidi ya mango dhabiti.
Pamoja na udhaifu wa manula kuihusisha timu ya taifa na siasa ni uzuzu.. watawala wajifunze.. Mana ingeshinda ungesikia chama fulani kiliahidi kuendeleza michezo
 
Pamoja na udhaifu wa manula kuihusisha timu ya taifa na siasa ni uzuzu.. watawala wajifunze.. Mana ingeshinda ungesikia chama fulani kiliahidi kuendeleza michezo
Mgawanyiko huu kuna siku tutaokota vipande
 
Back
Top Bottom