Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,563
- 28,524
- Thread starter
- #41
Ni kweli kabisa.Lakini chama chako CCM kimebariki wizi huo, serikali imeundwa kutokana na wabunge waliotokana na wizi wa kura, na bunge la CCM linaendelea kutunga sheria na kuishauri serikali. Huwezi kusema madudu hayo hayatokani na chama chako.
Ukiamua kujisahihisha, kubali mapungufu yote yaliyosababishwa na CCM, vinginevyo acha maisha yaendelee.
Hatua ya kwanza kwa CCM ni kukiri makosa ya kisiasa na kutowasikiliza wanachama wake.
CCM ikawa kwenye auto pilot.
Namnukuu Maso hapo nyuma ati Katibu Mkuu Bashiru anakuwa na ujasiri wa kusema atafanya madudu yoyote alimradi abaki madarakani.
Makosa hayo yalikipaka matope chama kwa sana tu.