CCM nyaya zimegusana

CCM nyaya zimegusana

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,664
Reaction score
59,127
Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?

No reforms no Election yatinga Meza Kuu za CCM.

Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣

Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣

mene, mene, tekeli, na peresi.
Screenshot_20250719_121028_Chrome.jpg
 
Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?

No reforms no Election yatinda Meza kuu za CCM.

Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣

Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣
View attachment 3410888
Wanaotaka Reforms ndani ya CCM ni wengi sana na walio na nguvu, tatizo kubwa ni mfumo wa ukweli na uwazi haupo CCM, pamoja na suala la "kofia mbili" ambalo linatumika kumfunga mdomo yeyote ndania ya chama na nnje ya chama kwa atakayekuwa "anawashwawashwa".

Kumepatikana njiti ya kiberiti na mafuta na mtu mmoja wa kuanzisha moto, sasa pori linaenda kuteketezwa.
 
Wajumbe hili taifa lipo nyuma yenu muondoeni huyo jini shumileta anayeuza vipande vya nchi kwa kupitia mabega yenu. Kwa mara ya kwanza mtakumbukwa na vizazi hata vizazi kwa kuliondoa hilo jimama ambalo haliwaonei hata aibu huku nyinyi mkizificha kende zenu mbele yake. Mumuondoe bila kumuonea aibu na mumewe kikwete kamateni weka ndani
 
Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?

No reforms no Election yatinda Meza kuu za CCM.

Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣

Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣

mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
kwahio ccm wamekaa wanajadili ajenda za chadema au sio
 
Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi?

No reforms no Election yatinda Meza kuu za CCM.

Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣

Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka Reforms 🤣🤣🤣

mene, mene, tekeli, na peresi.
View attachment 3410888
NO REFORMS NO ELECTION
hii sio kwa ajili ya chadema au Cuf au upinzani bali kwa watanzania wote bara na visiwani. Bila ukabila wala udini wala umaeneo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom