JokaKuu Platinum Member Jul 31, 2006 30,441 55,018 Aug 8, 2022 #1 ..kuna mambo CCM wamekatazwa kuyajadili. Tatizo wanataka kulazimisha Watanzania wote wawe kama wao. ..fuatilia hoja za Mch.Mtikila na jinsi Mwenyekiti wa Bunge Maalum Samuel Sitta alivyopatwa na taharuki na kuanza kumkatisha.
..kuna mambo CCM wamekatazwa kuyajadili. Tatizo wanataka kulazimisha Watanzania wote wawe kama wao. ..fuatilia hoja za Mch.Mtikila na jinsi Mwenyekiti wa Bunge Maalum Samuel Sitta alivyopatwa na taharuki na kuanza kumkatisha.
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Oct 28, 2020 9,880 19,815 Aug 8, 2022 #3 Swali ni kwamba hao wana uwezo wa kupitia njia ileile ya adha na mateso sawa na yale ya akina Mtikila?
Swali ni kwamba hao wana uwezo wa kupitia njia ileile ya adha na mateso sawa na yale ya akina Mtikila?