Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Kwanza CCM hawa wananichanganya. Kuna muda mwingine wanakaa wanafanya vikao vyao vya siri lakini masaa machache baadae kila kitu kinajulikana. Kila kiongozi anaropoka ki vyake wakati ilikuwa ni siri. Sasa nini maana ya kikao cha siri. Saa nyingine unakuta ni NEC waandishi wa habari wanaweza wasiwemo lakini kila kitu out na lawama kibao kwa nini msifanye hadharani. Hii ni dalili ya chama kufa maana hakuna kuaminiana tena.
Hali hii naifananisha na television yao ya TBC 1 pale ambapo siku moja nikiwa nimepumzika jioni Jumapili nikaona TBC 1 inaonesha kipindi cha CHEREKO. Kilichonishangaza nikuona Sherehe ya Kitchen Party inarushwa hewani!!! Wakauliza inakuwaje kitchen party ambayo wanaume huzuiwa kiasi kwamba kuanzia DJ, MC, wabeba masufuria ni kina mama alafu inarushwa hewani.....si bora wangeingia wote. Haikuwa na maana hii. Maana hata vitu walivyokuwa wakishauriana jinsi ya kutushika sisi wanaume na ujanja ujanja wote tuliusikia maana yake nini? Si bora na wanaume wawe wanatinga tu ukumbini maana ni ujinga.
WANANCHI WACHOSHWA NA TBC 1
Akiwemo mzee wa miaka 65, wananchi wanalalamika juu ya television yao ya taifa kutokuwa na jipya. Hii ilitokea siku moja ya Jumamosi usiku ambapo watu na familia zao walikuwa wamekaa wakisubiria filamu kwenye tv yao ya Taifa. Cha ajabu filamu iliyowekwa ni ile ya msalata wa usalato salaaaaaaaaaataaaaaa.........salata msalato salaaaaataaaaaaaaaaaa. Walichukia na kila mtu kwenda kulala..wengine walikuwa bado wako baa...wakahoji kuwa Tangu mwaka uanze filamu hiyo imekwisha oneshwa zaidi ya mara sita.........kila ukikaa kwenye TV utasikia msalata wa usalatoooo ohhhhhhhhhh salataaaaaaaaaaaaaaaa..........swali likaulizwa katika filamu zote zilizoko hapanchini hakuna filamu yoyote yenye mafunzo zaidi ya oooooooh salataaaaaaaaaa, msalatooooooo oh salataaaaaaaa. Filamu hiii na ujinga wa TBC 1 kuwachosha wananchi ni sawa kabisa na vitendo vya CCM.
Kwa herini.........ooooooooooooohhhhhhhh salaaataaaaaaaaaaaaaaaaa
Hali hii naifananisha na television yao ya TBC 1 pale ambapo siku moja nikiwa nimepumzika jioni Jumapili nikaona TBC 1 inaonesha kipindi cha CHEREKO. Kilichonishangaza nikuona Sherehe ya Kitchen Party inarushwa hewani!!! Wakauliza inakuwaje kitchen party ambayo wanaume huzuiwa kiasi kwamba kuanzia DJ, MC, wabeba masufuria ni kina mama alafu inarushwa hewani.....si bora wangeingia wote. Haikuwa na maana hii. Maana hata vitu walivyokuwa wakishauriana jinsi ya kutushika sisi wanaume na ujanja ujanja wote tuliusikia maana yake nini? Si bora na wanaume wawe wanatinga tu ukumbini maana ni ujinga.
WANANCHI WACHOSHWA NA TBC 1
Akiwemo mzee wa miaka 65, wananchi wanalalamika juu ya television yao ya taifa kutokuwa na jipya. Hii ilitokea siku moja ya Jumamosi usiku ambapo watu na familia zao walikuwa wamekaa wakisubiria filamu kwenye tv yao ya Taifa. Cha ajabu filamu iliyowekwa ni ile ya msalata wa usalato salaaaaaaaaaataaaaaa.........salata msalato salaaaaataaaaaaaaaaaa. Walichukia na kila mtu kwenda kulala..wengine walikuwa bado wako baa...wakahoji kuwa Tangu mwaka uanze filamu hiyo imekwisha oneshwa zaidi ya mara sita.........kila ukikaa kwenye TV utasikia msalata wa usalatoooo ohhhhhhhhhh salataaaaaaaaaaaaaaaa..........swali likaulizwa katika filamu zote zilizoko hapanchini hakuna filamu yoyote yenye mafunzo zaidi ya oooooooh salataaaaaaaaaa, msalatooooooo oh salataaaaaaaa. Filamu hiii na ujinga wa TBC 1 kuwachosha wananchi ni sawa kabisa na vitendo vya CCM.
Kwa herini.........ooooooooooooohhhhhhhh salaaataaaaaaaaaaaaaaaaa