CCM ni janga la Kitaifa, soma hapa

CCM ni janga la Kitaifa, soma hapa

nditolo

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
3,802
Reaction score
4,458
1. Mpaka sasa TBC1 haitazamwi na watazamaji wengi sababu imekuwa kama ni television ya CCM

2. Mavazi yenye rangi yenye rangi ya njano na kijani hayana mvuto tena wala hayavaliwi kama zamani maana ukivaa unaonekana kama kibaka

3. Shule zote zile zamani zilijulikana kama za wazazi (ccm) hazifaulishi na haziwezi kushindana na shule huru sababu ya wizi
4. Viwanja vya michezo ambavyo kimsingi ni vya wananchi ( vilijengwa kwa nguvu za wananchi) ccm imejimilikisha na hivyo michezo yote imedorora.

5. Vyeo ambavyo watu waliheshimika sana zamani kama RC, DC, Uwaziri siku hizi ukijitangaza hivyo unaoneka mwzi tu.

Kifupi ccm ni janga

*FISADI PAPA LEO ANATAKA ACHUKUE NCHI ILI AENDELEE KUTUIBIA.
 
Refer list of Shame iliyotolewa na Dr. wa ukweli pale mwembe yanga TMK.

Baada ya uchaguzi na CDM ikichukua nchi tutamleta Daudi Balali.
 
1. Mpaka sasa TBC1 haitazamwi na watazamaji wengi sababu imekuwa kama ni television ya CCM
2. Mavazi yenye rangi yenye rangi ya njano na kijani hayana mvuto tena wala hayavaliwi kama zamani maana ukivaa unaonekana kama kibaka
3. Shule zote zile zamani zilijulikana kama za wazazi (ccm) hazifaulishi na haziwezi kushindana na shule huru sababu ya wizi
4. Viwanja vya michezo ambavyo kimsingi ni vya wananchi ( vilijengwa kwa nguvu za wananchi) ccm imejimilikisha na hivyo michezo yote imedorora.
5. Vyeo ambavyo watu waliheshimika sana zamani kama RC, DC, Uwaziri siku hizi ukijitangaza hivyo unaoneka mwzi tu.

Kifupi ccm ni janga

*FISADI PAPA LEO ANATAKA ACHUKUE NCHI ILI AENDELEE KUTUIBIA.

Yote hayo inaonyesha a very strong and powerful party with a vision
 
You are right kiukweli!! CCM have nothing to be proud of, the best losers in everything!!!
Bonge la disaster!!!!
 
Tunamuhitaji Lowassa hapa Tunduma. Tumeandaaa watu 4000 wa kumdhamini.
 
Mama yako nitamrudisha baadae maana kazaa mitoto pungwani kama wewe Laki si pesa
 
Mama yako nitamrudisha baadae maana kazaa mitoto pungwani kama wewe Laki si pesa

Thread nzima unacomment peke yako,,Wewe kweli mwehu,,Rudi Mirembe kabla hujaanza kuokota makopo jalalani
 
Tunamuhitaji Lowassa hapa Tunduma. Tumeandaaa watu 4000 wa kumdhamini.

Sasa nimeelewa, kumbe wapambe huwa mnatangulia kuandaa watu ili akifika anajifanya kushangaa na kusema sikuitegemea hii halaiki na kumaliza hotuba yake hapo!

Kwahiyo na mapesa ndio mnagawa nyie? Niko hapa Ihanda leo niambie nikupate vp mkuu, nna shida kweli na mtonyo!!!
 
Sasa nimeelewa, kumbe wapambe huwa mnatangulia kuandaa watu ili akifika anajifanya kushangaa na kusema sikuitegemea hii halaiki na kumaliza hotuba yake hapo!

Kwahiyo na mapesa ndio mnagawa nyie? Niko hapa Ihanda leo niambie nikupate vp mkuu, nna shida kweli na mtonyo!!!
Kuna kambi ndogo iko hapa Mpemba, so pitia bahasha ya bwana Fisadi. Bahasha ndogo ni laki moko.
 
Thread nzima unacomment peke yako,,Wewe kweli mwehu,,Rudi Mirembe kabla hujaanza kuokota makopo jalalani

Tunaokota makopo kama ajira yetu na maisha bora kwa kila FISADI tangu 2005.
 
Makongoro Nyerere alisema "VIBAKA WAMEVAMIA CCM......."

Wewe unayedhani CCM itabadilika, endelea kusinzia. Unaelekea njia nzuri ya KULALA KABISA.
 
You are right kiukweli!! CCM have nothing to be proud of, the best losers in everything!!!
Bonge la disaster!!!!

ushahidi wa wazi huu hapa.
 

Attachments

  • attachment-13.jpeg
    attachment-13.jpeg
    11.6 KB · Views: 1,220
  • 10413289_443379535821384_8736472890136950428_n.jpeg
    10413289_443379535821384_8736472890136950428_n.jpeg
    7.8 KB · Views: 1,223
  • attachment-1.jpeg
    attachment-1.jpeg
    8.4 KB · Views: 1,219
  • attachment-13-2.jpg
    attachment-13-2.jpg
    7.6 KB · Views: 1,204
  • attachment.jpeg
    attachment.jpeg
    8.7 KB · Views: 1,201

Attachments

  • attachment-4.jpeg
    attachment-4.jpeg
    8.4 KB · Views: 1,137
  • attachment-10.jpeg
    attachment-10.jpeg
    9.5 KB · Views: 1,508
Back
Top Bottom