wazagamba nkoko
JF-Expert Member
- Nov 23, 2021
- 392
- 998
Ile dhana ya ccm ni chama cha wakulima na wafanyakazi ,na ya kwamba ni taasisi ruksa kwa mtanzania yoyote kujiunga na kugombea nafasi ya uongozi imetoweka na Nyerere.
Ili taka kurudi kwa hayati Magufuli kwa sasa imeshindikana. Lazima ufahamike na huo ukoo ,kadhalika nguvu zako kiuchumi ndio zitakazokuwezesha Kupata nafasi ya uongozi chamani na serikalini.
Shime,kama si mwanaukoo wewe ndani ya chama hicho ni msindikizaji na mpiga vigelegele.
Karibuni chama kipya makini mbadala wa ccm na vyama pinzani mamluki .
Tumedhamiria kuwakomboa watanzania dhidi ya huu ubwanyeynye unaoendelea nchini
Ili taka kurudi kwa hayati Magufuli kwa sasa imeshindikana. Lazima ufahamike na huo ukoo ,kadhalika nguvu zako kiuchumi ndio zitakazokuwezesha Kupata nafasi ya uongozi chamani na serikalini.
Shime,kama si mwanaukoo wewe ndani ya chama hicho ni msindikizaji na mpiga vigelegele.
Karibuni chama kipya makini mbadala wa ccm na vyama pinzani mamluki .
Tumedhamiria kuwakomboa watanzania dhidi ya huu ubwanyeynye unaoendelea nchini