Asenga wa Pakaya
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 260
- 61
Marachache sana kukuta wazungu kwenye mikutano ya ccm
kinana hajawahi kumpita masiki ktk ziara yake bila kumsikiliza na kumpa alichonacho ata kama ni ushauri wa kawaida
wapi slaa aliwahi kula kwa mamanitilie? Au na masikini?
kinana hajawahi kumpita masiki ktk ziara yake bila kumsikiliza na kumpa alichonacho ata kama ni ushauri wa kawaida
wapi slaa aliwahi kula kwa mamanitilie? Au na masikini?