GIBA KB
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 367
- 111
Katika kampeni za urais za mwaka 2010,mgombea urais kupitia ccm J.Kikwete alipokuwa akihutubia katika mkutano wa kampeni uliifanyika katika uwanja wa uhuru(Mashujaa) Bukoba. Alitoa ahadi ya Kujengwa kwa meli mpya kubwa kuliko MV VICTORIA itakayo rahisisha usafirishaji wa mizigo na abiria kutoka Bukoba kwenda Mwanza.Nakumbuka alishangiliwa sana na wananchi wa Bukoba.Swali ni je,mchakato wa ujenzi wa Meli hii unaanza lini kwa sababu hata dalili hazionekani?