Ccm na cuf zanzibar wanaitaji kutolewa mapepo

Ccm na cuf zanzibar wanaitaji kutolewa mapepo

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,675
Reaction score
37,856
HAWA CCM NA CUF -ZANZIBAR WANAITAJI MAOMBI SANA

Maelfu ya wafuasi wa chama cha CUF na CCM Zanzibar wakijumuika katika maandamano ya kuunga mkono kauli ya katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad ya kutaka uchaguzi mkuu visiwani humo usogezwe mbele, Maandamano hayo yalianza katika uwanja wa Maisara na kuishia kiwanja cha Demokrasia Kibanda Maiti jana.
 
kabisaaa tutamwomba mzee wa upako akadili nao
 
Back
Top Bottom