Sasa mbona hata wewe unawapa hadhi hivyo hivyo. Watanzania siyo wajinga mpaka uwasemee wewe kama unaona drama nenda tu kwenye chama ambbacho unaona hakina drama.Hali dhofri waliyonayo Chadema ambayo hata CCM asipofanya kampeni atashinda lwa kishindo kuna ka- drama kanafanyika ili kuonyesha upinzani uko active kwa watazamaji. Jamani waacheni hao Chadema mnawapa hadhi wasiyokuwa nayo