mbongombishi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 588
- 291
mkuu NazDaz,umeongea jambo la msingi kabisa,lakini kwa watu wasiotumia kichwa kufikiri,lazima wataleta kebehi nyingi sana.
Kama ulivyoeleza hapo juu,CDM wakiacha mambo haendelee kama ilivyo kwa hawa watu wasioongozwa na busara na hekima kuendelea kuropoka,itawagharimu sana kuliko vile walivyokua wanafikiri,lakini swali la msingi ni je mpaka sasa hata wakiamua kufuata ushauri wako,watakuwa hawajachelewa kweli?
Kama ulivyoeleza hapo juu,CDM wakiacha mambo haendelee kama ilivyo kwa hawa watu wasioongozwa na busara na hekima kuendelea kuropoka,itawagharimu sana kuliko vile walivyokua wanafikiri,lakini swali la msingi ni je mpaka sasa hata wakiamua kufuata ushauri wako,watakuwa hawajachelewa kweli?