matanga ya ccm yanafanyika furahisha na kuna jeneza la kijana wao. Zitto anazikwa leo
zito ndio baba lenu,,vifaranga mmebaki kutapatapa tu
Last edited by a moderator:
matanga ya ccm yanafanyika furahisha na kuna jeneza la kijana wao. Zitto anazikwa leo
infanana ni ile kasi ya misikiti isiyo na waumini ktk barabara zote kutokea dara hadi mbeya..... wanaCCM wanapenda hayo kwa vile kil amradi ni chanzo kipya cha ulaji.
Mashina yana wanachama?
infanana ni ile kasi ya misikiti isiyo na waumini ktk barabara zote kutokea dara hadi mbeya..... wanaCCM wanapenda hayo kwa vile kil amradi ni chanzo kipya cha ulaji.
haha.....mnayo shida sana.we mchaga udini utakuua? we kula siku uko na waislamu we kweli zezeta..bora mama ako angezaa mbege akachanganya na banana akanywa na supu ya makanyagio ya ng'ombe
Hakuna makanisa yasiyo na waumini wewe kanyagio..Waumini huwa ndio wanaochanga ..na hivyo wakikosa waumini ina maana hawatamalizia..wakiwa nao ina maana watamaliza kwa ukubwa ambao hautoshi sana,kwani michango huwa ya watu wengi na midogomidogo. HIyo misikiti huwa ni hela ya waarabu,na kila mwenye kikofia anaona ni ulaji kujena popote ili apate ulaji.Na makanisa yasiyo na waumini huyaoni au unafumba macho Nicholaus?
Haha....ndio sehemu za ulaji zilizobaki..ujue huyo jamaa aliye coordinate hayo anataka kuitwa juu.Anajua wazi huo ni usanii.Duh! Mi nkafikiri nawezakuta ccm mwanza wamfufua mabina kumbe kuzindua mashina ndiyo maajabu...!