CCM Mwanza yafanya maajabu

CCM Mwanza yafanya maajabu

Mgojwa hata kama anataka kufa lazima umfariji.
 
attachment.php


Duh! haya ndio maajabu kweli Ukistaajabu ya CUF utayaona ya CCM. Kweli hiki chama kimezeeka maana hata wafuasi wake hata wakiwa na umri mdogo wanaonekana wazee kama picha zinavyojionyesha.

hali mbaya hv kwamba,ata shina unalifungua huku unaona soni,upinzani raha sana!
 
Mwamsaga,hako ka simu kako ndo kameweka hizo picha au umesaidiwa?
nakusihi achana na ccm itakuzeesha njoo kwenye uhai na uzima kaka
 
haya rudi kwa hao wana ccm chumia tumbo wenzako uwaeleze wazi wazi kwamba deni la taifa limefikia kiasi gani ili wajue kuwa wanadaiwa kiasi gani usisahau tembo nk ili wajue waadhimisha miaka 37 ya ccm kwa Staili gani bila kusahau tembo nk
 
COROLLA iliyochakaa hata uipake puti ya kijerumani ni sawa na bure !
 
Safi saana wazalendo tuko nyuma yenu,!

kelele za watafuna ruzuku na viongozi wao wakudumu hazina nafasi kwa watanzania wazalendo wenye macho ya ndani!

Aisee ccm mwaka huu hawatoki,yameshachoka bro
 
COROLLA iliyochakaa hata uipake puti ya kijerumani ni sawa na bure !

Au kama mtu kazeeka kazeeka tu,lazima afe ref. To mandela pa1 na kuwa pesa ipo,huduma zipo lakin ugonjwa wa uzee dawa yake ni kufa.Hivyo ccm dawa yao ni kufa tu,yaan hata wakipelekwa hosptl gani dunian,no chance to live.RIP ccm
 
katika kudhihirisha kwamba kina mtaji wa kutosha! Chama cha mapinduzi chini ya waenezi na wahamasishaji wake wa ngazi za matawi na mashina,wameanzisha utaratibu unaokubalika wa kujitambulisha katika jamii kwa kukarabati na kufungua mashina mapya kwa wingi na kwa kasi ya ajabu katika maeneo na mitaa yote ya ya jiji la mwanza.kwa leo ninakudhihirishia kwa kukuwekea picha za vikao na harakati za ujenzi wa mashina katija mtaa wa kangaye kata ya nyakato.hii ni katika pitapita yangu ya kutaka kujua ukweli wa habari hizi.wananchi wa mtaa wa kangaye ambao wamejitolea hata kuchangiwa chochote na chama wamewawaomba viongozi wa ngazi mbalimbali kuanzia kata,wilaya,mkoa na hata taifa wakiwemo wabunge kukubali mualiko kutoka kwa katibu kata wa nyakato nd;mkumba wa kutembelea shina la wakereketwa wa ccm la kangaye 'b' ili kutoa hamasa ya hali na mali au hata kuwawezesha kwa harambee za kuwapongeza,kwani wameonyesha kwamba kwa hiyari yao na kwa uwezo wao mdogo wametengeneza uhai wa chama.ccm oyeee,kidumu chama cha mapinduzi.angalia picha hapo chini-taarifa kwa hisani ya 4664 mwamsaga.

mbona ni kama wanajenga kaburi la mpendwa wao?
 
Haya ndiyo maajabu, baada ya utawala wa miaka 52???!!! Ni maajabu kwa mjinga tu, mwenye upeo mdogo wa kufikiri, siyo mimi!
 
CCM bado tu wanajitambulisha?

Mkuu huu naona ni mradi wa kuelekea uchaguzi mkuu.. si unajua kuna mitandao kama minne huko ccm ambayo inataka uraisi..So kama wanavyofanya viongozi wao (Makonda.. Malecela.. Mgeja etc) nao wanachagua sides now.. Njaa hizi zilizochukua nafasi ya ubongo balaa..
 
Ninyi pakeni rangi sie tunaendelea kufanya mambo,ona sasa msingi wa shina umekamilika sasa hivi ,tunavyoongea mafundi wanakabidhi kazi kwa wanachama.😱na picha.


Sisi tuko huku Daima kijana!
Kama ni mbaya na acha iwe mbaya kudadekii!
 

Attachments

  • CHADEMA HATAUNIUE.gif
    CHADEMA HATAUNIUE.gif
    6.2 KB · Views: 194
Barabara zimekuwa mbovu hasa toka Nyakato to Kangaye, igoma to Kishiri na mnakarabati upuuzi? Akili zenu mbovu sana
 
masikini ccm.wanakumbuka kuvuta shuka saa 12 asubuhi.
 
Mda huu naandika huu mchango humu jf kuna wachumia tumbo wananing'inia kwenye NGUZO ZA UMEME KUPIGILIA MATAMBALA YAO YA MAGAMBA KIJANI,MCHANA WAMEOGOPA MAANA WALIJARIBU KUTUNDIKA UCHAFU WAO WAKAWA WANAZOMEWA WAKAKIMBIA NA NDO WAMERUDI USIKU HUU KUFANYA UPUMBAFU WAO TENA.Yaani hawajiamini kama wezi vile. Ccm kwisha habari yao,mbeya kiboko yao.

nipo kitandani nimelala, lakini hii post yako imenifanya nicheke kwa sauti mpaka shemeji yako(my wife)kashtuka.dadeki magamba wanatia huruma kwa kweli.
 
Mwamsaga,hako ka simu kako ndo kameweka hizo picha au umesaidiwa?
nakusihi achana na ccm itakuzeesha njoo kwenye uhai na uzima kaka

mbona chadema ishakufa?.labda aende nccr
 
Back
Top Bottom