Nicolas J Clinton Gabone
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 892
- 536
Chama cha mapinduzi Mwanza kimeibika na kujikuta kinapiga mziki na kukosa watu huku mwanafunzi wa shule za msingi wakiwa ndiyo wafuasi wao. Mpaka sasa wanautubia wengi ni CHADEMA ambao wamekaa kando ya kiwanja msemaji wao anasema Wenje afungashe virago vyake Jimbo linarudi CCM. Anasema Wenje ameshindwa kujenga barabara, vyoo, zahanati, maji, umeme, anasema CHADEMA na CUF wako tiari kukubali ushoga kisa misaada anaendelea kusema vyama hivi wanataka vita. Ukweli ni aibu kuu hakuna watu, watu wamekikataa CCM