​hizo ni sumu kwa viongozi wa ccm maana wamekuwa na siasa za chuki mara wakizidiwa wanakuja na kusema ukanda,udini,ukatoliki mara wanaanzisha uamsho ni kufirisika kisiasa maana nape anawezaje kuongoza melikebu iliyopasuka na isizame
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.