sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,162
Luhaga Mpina atatoka CCM na sisi tutampigia kura popote pale alipo.Sina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
Mbona aliangushwa chaguzi za NEC ngazi ya mkoa na taifa na sijasikia mmesusa? Huko CCM wamejaa wanafiki tu hata akitoka atajikuta mwenyewe tu na akikaa vibaya na Jimbo ataporwa na hakuna kitu mtafanya.Luhaga Mpina atatoka CCM na sisi tutampigia kura popote pale alipo.
Tunamfuata kama tunavyomfuata Mandonga...
Kwa CCM ni kosa la uhaini kuchukua fomu ya Urais kama bado hajamaliza mihula miwili. Mlitengeneza precedent mbaya sana na imerudi kuwatesa. Mama ndio mgombea wenu nyie mafisadi mpende msipende. After all kwanini wambadilishe wakati hawategemei kura zetu!!msiruhusu huyu mama agombee
Sukuma gangi mnajifanya kumchukia mwenyekiti wenu nnapigia kampein ccm,watanzania tumeichoka ccm tunataka chama tofauti na ccm,tunataka kuona sura mpya sio kikundi cha watu walewale,mwenyeki wenu kwamujibu wa katiba yenu lazima agombee mama Abuu anaushawishi anatosha kuwawakilisha sukumagangi pia.Sina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
Huyu mama anatumia mwanae aitwaye Abdul kupiga hela. Kuna deal la kijana huyo akishirikiana na waziri wa mambo ya ndani walivyokwapua mabilioni. Hiyo taarifa kila ikiletwa humu JF mods wanaiondoa haraka sana!Sina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
Sina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
Kwenda zako.Sina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
Hao ulio wataja kama yangekuwa majembe wangetuachia katiba mpiya naona wewe utawala wamkapa ulikuwa bado mimba ndio maana unamuita jembe,pia utawala magu ulikuwa bado unanyonyoSina haja ya kutoa salamu, ila ninyi CCM ni chama kinachotegemewa hakuna namna maana kwenye Chadema nako hakuaminiki kabisa , hawa jamaa hata wakichukua nchi nao hawatabadili katiba.
Ila nyie Ma CCM uchaguzi wa mwaka 2025 msiruhusu huyu mama agombee tuleteeni majembe mengine hasa yale yanatofanana na Magufuli au Mkapa nchi hii inaweza kunyooka, ila tumekwisha
Tanzania unasumbuliwa na ufisadi tangu tupate uhuru hakuna rais alie wahi kupambana na ufisadi na rushwa ila wakenya upenda kusema kuwa tz hakuna rais mbaya sababu kila rais nchi hii akimaliza muda wake uondoka na mabirioni ya fedha pamoja na mawaziri wake alafu watzania uanza kumsifia hovioSio kwamba ccm ni mbaya au cdm ni mbaya ila akili za hao viongozi wetu kwenye maendeleo ya wananchi ndio kuna tatizo. Kama kiongozi hawezi kutetea nchi yake ni kitu mbaya sana. Ila ngoja muda utoe dawa yake
Sukuma gangi mnajifanya kumchukia mwenyekiti wenu nnapigia kampein ccm,watanzania tumeichoka ccm tunataka chama tofauti na ccm,tunataka kuona sura mpya sio kikundi cha watu walewale,mwenyeki wenu kwamujibu wa katiba yenu lazima agombee mama Abuu anaushawishi anatosha kuwawakilisha sukumagangi pia.
Hebu iweke hapa tuioneHuyu mama anatumia mwanae aitwaye Abdul kupiga hela. Kuna deal la kijana huyo akishirikiana na waziri wa mambo ya ndani walivyokwapua mabilioni. Hiyo taarifa kila ikiletwa humu JF mods wanaiondoa haraka sana!
NakubaliSio kwamba ccm ni mbaya au cdm ni mbaya ila akili za hao viongozi wetu kwenye maendeleo ya wananchi ndio kuna tatizo. Kama kiongozi hawezi kutetea nchi yake ni kitu mbaya sana. Ila ngoja muda utoe dawa yake
Ccm. Hata ikatawala miaka miamoja kamwe hakuma maendeleo.Sukuma gangi mnajifanya kumchukia mwenyekiti wenu nnapigia kampein ccm,watanzania tumeichoka ccm tunataka chama tofauti na ccm,tunataka kuona sura mpya sio kikundi cha watu walewale,mwenyeki wenu kwamujibu wa katiba yenu lazima agombee mama Abuu anaushawishi anatosha kuwawakilisha sukumagangi pia.