Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,494
- 113,590
Wanabodi,
Mimi nimejibainisha humu kuwa ni mtu mkweli daima ambaye sio tuu nina Chama, bali pia ni kada, ila ninatanguliza mbele maslahi ya taifa na sio ukada wangu. CCM wakifanya mazuri nawapongeza, wakifanya mabaya nawakosoa, vivyo hivyo kwa wapinzani wakifanya vizuri nawapongeza, wakichemsha nawakosoa.
Hili ni bandiko la pongezi kwa Chadema kwa kuwa wapishi mahiri wa majembekazi, ambayo Chadema ndio wazalishaji, wanaunda, kwa kupanda mbegu, kutia mbolea, kumwagilia, kupalilia, lakini ukifika muda wa mavuno, CCM Sasa ndio inaingia kuwavuna na sifa zote za utendaji wao uliotukuka, unakwenda kwa CCM ambaye ni mpakuaji tuu na mlaji na sio mpishi, kwa nini sifa za kupika chakula kizuri, kitamu, ziende kwa mlaji tuu na sio mpishi.
Naomba kukiri, nimekua inspired na bandiko hili kufuatia kitendo cha kishujaa, cha kishupavu ms cha kizalendo cha Mkuu wa wilaya ya Dodoma, Petrobras Katambi kukataa rushwa na kumripoti muhongaji takukuru.
Hii maana, hao waongoji walizoea kuwahonga viongozi wa CCM, na kwa kumbukumbu yangu, sikumbuki ni lini kiongozi yoyote wa CCM aliwahi kuripoti rushwa kwa Takukuru, sasa kwa vile Katambi amejiunga CCM, watoa wakajua ni CCM as usual, wakamwingia kumhonga, kumbe this is CCM made in Chadema.
Majembekazi ya Chadema yaliyopo CCM yanafanya wonders na all the credits goes to CCM walaji tuu badala ya
wapishi.
Baadhi ya majembekazi ya Chadema na upimzani ndani ya serikali ya CCM,
CCM na kuwapatia sifa, hivyo CCM msione shida ku copy mazuri ya upinzani, na wapinzani wanapofanya vizuri mjisisikie
wazito kuwapongeza.
P
Mimi nimejibainisha humu kuwa ni mtu mkweli daima ambaye sio tuu nina Chama, bali pia ni kada, ila ninatanguliza mbele maslahi ya taifa na sio ukada wangu. CCM wakifanya mazuri nawapongeza, wakifanya mabaya nawakosoa, vivyo hivyo kwa wapinzani wakifanya vizuri nawapongeza, wakichemsha nawakosoa.
Hili ni bandiko la pongezi kwa Chadema kwa kuwa wapishi mahiri wa majembekazi, ambayo Chadema ndio wazalishaji, wanaunda, kwa kupanda mbegu, kutia mbolea, kumwagilia, kupalilia, lakini ukifika muda wa mavuno, CCM Sasa ndio inaingia kuwavuna na sifa zote za utendaji wao uliotukuka, unakwenda kwa CCM ambaye ni mpakuaji tuu na mlaji na sio mpishi, kwa nini sifa za kupika chakula kizuri, kitamu, ziende kwa mlaji tuu na sio mpishi.
Naomba kukiri, nimekua inspired na bandiko hili kufuatia kitendo cha kishujaa, cha kishupavu ms cha kizalendo cha Mkuu wa wilaya ya Dodoma, Petrobras Katambi kukataa rushwa na kumripoti muhongaji takukuru.
Hii maana, hao waongoji walizoea kuwahonga viongozi wa CCM, na kwa kumbukumbu yangu, sikumbuki ni lini kiongozi yoyote wa CCM aliwahi kuripoti rushwa kwa Takukuru, sasa kwa vile Katambi amejiunga CCM, watoa wakajua ni CCM as usual, wakamwingia kumhonga, kumbe this is CCM made in Chadema.
Majembekazi ya Chadema yaliyopo CCM yanafanya wonders na all the credits goes to CCM walaji tuu badala ya
wapishi.
Baadhi ya majembekazi ya Chadema na upimzani ndani ya serikali ya CCM,
- Prof. Kitila Mkumbo
- Anna Mghwira
- Juliana Shonza
- Mwikwabe Mwita Waitara
- Patrobras Katambi
- David Kafulila
- Julius Mtatiro
- James Ole Milya
CCM na kuwapatia sifa, hivyo CCM msione shida ku copy mazuri ya upinzani, na wapinzani wanapofanya vizuri mjisisikie
wazito kuwapongeza.
P