Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 567
- 1,565
Ukisoma Magazeti mengi ukiacha Magazeti machache tu ya Kizarendo utaona jinsi ambavyo CCM ndio wamekua Waandishi na Wahariri wa Magazeti hayo.
Habari zinazoandikwa humo, Chanzo cha habari ni CCM, Waandishi wa habari ni CCM, Wahariri ni CCM, wasamazaji ni CCM nadhani tuwaachie CCM wenyewe ndio wawe Wasomaji pia.
Maanake haiwezekani mnataka tuyasome sisi wakati mmetupangia Habari zenu.
Watanzania sasa hivi sio kila Gazeti linafaa kusomwa mengine yanatumiwa na CCM kutupotosha. Tuwe Makini.
Habari zinazoandikwa humo, Chanzo cha habari ni CCM, Waandishi wa habari ni CCM, Wahariri ni CCM, wasamazaji ni CCM nadhani tuwaachie CCM wenyewe ndio wawe Wasomaji pia.
Maanake haiwezekani mnataka tuyasome sisi wakati mmetupangia Habari zenu.
Watanzania sasa hivi sio kila Gazeti linafaa kusomwa mengine yanatumiwa na CCM kutupotosha. Tuwe Makini.