May 15, 2020
MWASISI wa shirikisho la Vyuo na vyuo vikuu, ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya Amani Kajuna amesema Jimbo la Mbeya kuendelea kushikiliwa na chama pinzani ni kutokana na baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi CCM kuweka matakwa yao ya viongozi na sio kuwasikiliza wananchi.
Kwa uchungu kabisa mwanaCCM huyu wa Mbeya kipenzi cha vijana wa UVCCM na Jumuiya za CCM anaelezea michezo michafu ya kisiasa ndani ya chaguzi za CCM
Source : Global TV online
MWASISI wa shirikisho la Vyuo na vyuo vikuu, ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya Amani Kajuna amesema Jimbo la Mbeya kuendelea kushikiliwa na chama pinzani ni kutokana na baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi CCM kuweka matakwa yao ya viongozi na sio kuwasikiliza wananchi.
Kwa uchungu kabisa mwanaCCM huyu wa Mbeya kipenzi cha vijana wa UVCCM na Jumuiya za CCM anaelezea michezo michafu ya kisiasa ndani ya chaguzi za CCM
Source : Global TV online