CCM mayday mayday

Natamani Na Naamini Mungu Akitujalia Afya Ya Mifupa,,,Damu Na Nyama Tuje Kuonana Hata Isipo Kuwa Hivyo...Una Utu Sana...Na Haki Bila Kuanza Na Utu Ni Upuuzi Na Ukiritimba Mtupu......✊✊###Utu Na Kazi Tunasonga Mbele###
Ooh ahsante sana Palmoni kwa kuliona hili. Sijisifii ila nina utu kwa kweli. Hapa hizi kelele tunaandika kwaajili ya watu kama hawa. Kweli utu ndiyo dini ni vile binadamu hatujui, ukiwa na utu, hutobagua kwa rangi, dini wala kabila. Tuko pamoja Mkuu, naimani tutaonana, tuombe uzima.
 
Tabia za ccm ni sawa na tabia za wazawa waliopo kwao.
 
Bila shaka wanaenda kupata huduma ya mifugo yao?
 
Ilishakufaga (brain dead) kitambo... tunasubiri watoe machine (dola
) tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…