CCM may lead for decades!

tunaogopa kusema kuwa wanchi watariot lakini kitu cha msingi ni kuwa hatuna muda mrefu kwani nchi imekuwa na matatizo mengi wakati wao wanakura rundo la pesa za wananchi.

Ndio maana nimekuwa nikimshauri mkuu wa kaya naamini kuwa anaingia ukumbini hapa mwenyewe bila kuwatuma hakina Salva, njia sahihi ni kujiuzuru na kuitisha uchaguzi upya nina uhakika kwa wakati tulionao atashinda tu, lakini tunavyosogea mambo yanaharibika zaidi na kuleta mgogoro kwa CCM kuingia madarakani bila wizi wa kura.

Habari hii inaukweli "CCM WILL lead for decades"!!!!
wapiga kelele wengi sio wapiga kura, wala msisingizie kuwa mnaibiwa kura hii statement itakuwa true ONLY IN ZANZIBAR.
 
Naendelea kutafuta sababu zilizokufanya ufikie hitimisho hili, bahati mbaya hazimo kwenye hii thread!
 
Kweli kabisa kubaki kwa Sultani CCM madarakani ndio hivyo hivyo kuendelea kubaki na umasikini wa kutupwa wa Tanzania ,nasikia ni wapili kwa umasikini kutokea mwisho.kuendelea kwa Sultani CCM ni kushika nafasi ya mwisho au ya kwanza ya umasikini maana yote sawa.Ndio maana yake.
 
Na waendelee tu kutawala hadi hapo wapinzani watakapokuwa serious na ishu za nchi.
 
Back
Top Bottom