figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,632
- 62,511
kwa sababu wote ni waroho, acha wamalizane wao kwa wao! Wanaona haya kuitamka hiyo kauli mbiu ya mkubwa wao kwa sababu imewatafuna wao wenyewe!
mkuu wewe una akili sana.mia
kwa sababu wote ni waroho, acha wamalizane wao kwa wao! Wanaona haya kuitamka hiyo kauli mbiu ya mkubwa wao kwa sababu imewatafuna wao wenyewe!
Hii ni kauli mbiu inayotumiwa na wanachama na wapenzi wa chama hicho katika uchaguzi mdogo wa igunga, ni kauli inayoonesha kutumia ubabe, na je? inawezekana aje kuwapo Mashine inayosaga na kukoboa? badala ya "kukoboa na kusaga"
Hii ni kauli mbiu inayotumiwa na wanachama na wapenzi wa chama hicho katika uchaguzi mdogo wa igunga, ni kauli inayoonesha kutumia ubabe, na je? inawezekana aje kuwapo Mashine inayosaga na kukoboa? badala ya "kukoboa na kusaga"