Tunamjua na tunamkubali!!!kijana huyo ni kiongozi wa ccm lumumba ; taarifa zake zinaheshimiwa sana hapa jukwaan.
Wewe uko UFIPA ya Lumumba yanakuhusu nini?
Alaaa sasa mnayajua haya kwa nini bado mnaichagua CCM? mbona wanajionyesha jinsi gani walivyo wajinga yaani walijiunga CCM ili nao wapewe tenda? ama kweli nchi ya wajinga huchekana kwa ujinga!..Mambo si mambo ndani ya CCM.Kunafukuta.Yasome malalamiko ya Makada waandamizi wa CCM Ofisi Ndogo Lumumba,Dar es Salaam:
1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?
2.Wanakula kuku sisi makombo.
3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.
4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.
5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.
6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.
Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Inashangaza ni kwa nini wanamshambulia mwana CCM mwenzao aliyeamua kusema ukweli kwa manufaa ya chama chao.
Wewe uko UFIPA ya Lumumba yanakuhusu nini?
Mambo si mambo ndani ya CCM.Kunafukuta.Yasome malalamiko ya Makada waandamizi wa CCM Ofisi Ndogo Lumumba,Dar es Salaam:
1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?
2.Wanakula kuku sisi makombo.
3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.
4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.
5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.
6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.
Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mambo si mambo ndani ya CCM.Kunafukuta.Yasome malalamiko ya Makada waandamizi wa CCM Ofisi Ndogo Lumumba,Dar es Salaam:
1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?
2.Wanakula kuku sisi makombo.
3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.
4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.
5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.
6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.
Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Ipo siku utayajutia maneno yako
Mzee Tupatupa
MangiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiMambo si mambo ndani ya CCM.Kunafukuta.Yasome malalamiko ya Makada waandamizi wa CCM Ofisi Ndogo Lumumba,Dar es Salaam:
1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?
2.Wanakula kuku sisi makombo.
3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.
4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.
5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.
6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.
Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Alaaa sasa mnayajua haya kwa nini bado mnaichagua CCM? mbona wanajionyesha jinsi gani walivyo wajinga yaani walijiunga CCM ili nao wapewe tenda? ama kweli nchi ya wajinga huchekana kwa ujinga!..