VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Mambo si mambo ndani ya CCM.Kunafukuta.Yasome malalamiko ya Makada waandamizi wa CCM Ofisi Ndogo Lumumba,Dar es Salaam:
1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?
2.Wanakula kuku sisi makombo.
3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.
4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.
5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.
6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.
Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
1. Viongozi wakuu wote wana makundi ya Urais ndani ya chama,sisi tunakatazwa tukiambiwa tusubiri taratibu za chama.Zipi?
2.Wanakula kuku sisi makombo.
3. Wanasafiri wao sisi tupo tu kama nyumba za NHC.
4.Tenda za vifaa vya uchaguzi kila mwaka wa uchaguzi wanapewa wale wale.
5.Wao wameshawapata wagombea wao kwenye majimbo halafu sisi tunasubiri kwenda kuigiza Kura za Maoni ndani ya chama.
6.Wao wanafanya biashara kubwa,sisi wanatuuzisha mashati na fulana za chama hapo nje-Lumumba.
Hapo 'nimesamaraizi' malalamiko yanayokandamizwa na miiko mikutanoni. Hali si shwari. Viongozi mpo?
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam