Mlyafinono
Senior Member
- Apr 6, 2012
- 177
- 47
Wafuasi wa Chama cha magamba wameanza kuvaa maguo yao ya kijani baada ya nape kuhutubia mkutano wa hadhara makambako jana, kabla ya hapo walikuwa wanaogopa kuvaa kutokana na kuogopa kuzomewa na kuitwa mafisadi