CCM maji shingoni Igunga

...............Magamba nasikia wapo kwenye strategic meeting ya kumwagia mtu mwingine tindikali,maana kafara haijatosha...
 
<br />
<br />
chapa kazi kaka maana nape hata kulipa!
 
nakumbuka ktk jimbo letu huko kusini ilitokea mgombea wa magamba,wananchi wote walikuwa hawamtaki na hakuwahi kufanya mkutano wowote kwa kipindi chote cha kampeni lakini matokeo yalipotoka alishinda sasa kuweni makini sana na hawa magamba chonde chonde wakuuu huko igunga msijisahau ata dakika 1 watawafanya vibaya mtakuja kushangaa matokeo hawa watu hatari sana pambaneni tuko nyuma yenu wakuuu
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Watoto wa shule hawakatazwi kupiga kura ili mradi wawe wametimiza miaka 18
<br />
<br />
Kama macho yako ni mazima unaweza kuona hao watoto wote wanaonekana hawajabarehe wala kuvunja ungo.
Ila inawezekana na wewe ushamwagiwa tindikali huoni vizur
 
sisiemu hawana la kufanya zaidi ya kupanga mikakati ya kuiba kura, wenzao wanapiga kampeni za kufamtu wao wanapanga jinsi ya kuiba kura tusubiri tuone.
 

Hawana haja ya mikutano mingi kama ya CHADEMA wanajua wapi watawapiga bao wapinzani wao. Ndio maana wao badala ya kufanya kampeni wanaendesha kambi za vijana wao wakiwafundisha mbinu za kuiba kura.
 
<br />
<br />
Maskini rosti tamu.....anatia huruma eeeeh
 
CDM mnaanda mazingara ili ionekana kwamba mmeonewa??<br />
<br />
Haisaidii kulialia.....ccm itashinda kama kawa, watanzania hatutaki chama chenye vurugu na ukabila period.
<br />
<br />
We unatokea sayar gani? Isije ikawa tunabishana na watu wanaotokea sayari ya pluto manake wengi wao wana utapiamlo wa ubongo
 
Ndugu wana JF,

Ni usiku wa saa nne kwa hapa Tz ninapoandika ujumbe huu. Nimeongea na jamaa yangu ambaye ni askari polisi ambaye kwa sasa yupo Igunga. Tathmini aliyoitoa n kwamba CCM hali yao ni mbaya sana Igunga na hivyo kwa sasa wanajiandaa kwa hali na mali washirikiane na jeshi la polisi kuvuruga harakati za ukombozi wa pili wa watanzania na wananchi wa Igunga. Tayari kuna makamanda kama saba wa polisi ambao wamepelekwa huko akiwemo aliyerithi Mikoba ya Kamanda Tossi, huyo anaitwa Anacleth. Wengine ni akina Siro na Liberatus Baro. Wote hapa sasa wanashawishiwa na serikali iwatumia polisi kuhakikisha kuwa CCM inashinda kwa hila. Magari mengi ya maji ya kuwashwa yameshapelekwa huko kwa ajili ya kutoa tvitisho kwa wananchi. Wanaigunga wameamka mno safari hii. Jamaa yangu pia amethibitisha kuwa CCM inabeba watu kutoka vijiji ambavyo viko nje ya Igunga ili mradi ionekane tu kuwa inajaza watu kwenye mikutano.
Kwa wana Chadema mlio Igunga, kazeni buti na mikakati mathubuti iwekwe kulinda kura
 
<br />
<br />
 
TBC leo wamechakachua mbya, imeonyesha wanafunzi ndo wanatka shule wanahudhuria kampen za chadema, same time nilivyotune ITV wameonyesha nyoni la watu wanasikiliza kampen za CDM..
 
this time hata kupigana inabidi kupigana tu,we are tired with tanzanian police damn them
 
polisi polisi hawa ni watu wanaotakiwa kulinda maslahi ya wananchi lakini wamekuwa kama mbwa na kuegeuzwa vibaraka wa ccm,
 

Matumizi ya madaraka vibaya. CCM na serikali ya Fisadi papa watakuja kujibu maswali muda tunao .... .... ..
 
TBC leo wamechakachua mbya, imeonyesha wanafunzi ndo wanatka shule wanahudhuria kampen za chadema, same time nilivyotune ITV wameonyesha nyoni la watu wanasikiliza kampen za CDM..

Uzuri hata hao wanafunzi pia ni wapiga kura..tena wazuri kabisa. Wakitoka hapo somo limewakoleaaa, wanaenda kutia sumu kwa mama, baba, kaka na dada zao. Alafu kinaeleweka
 
Ushindi wa uchaguzi haupo kwenye kuanzisha threads za kishabiki.
Pamoja na kuhutubia wanafunzi wa shule ya msingi bado mwaona mtashinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…