CCM leo ni leo Ngusero Sombetini

CCM leo ni leo Ngusero Sombetini

Mkutano wao wao unaweza kunoga kama watawajumuisha akina Kibaji, Serukamba, Nkamia ili wakatoe burudani ya matusi, na yule mbunge wa viti maalum akatoe ushuhuda wa jinsi anavyokabemenda kavulana na Kapuya jinsi alivyokabaka kabinti

Hahaaaa mkuu umenifurahisha sana nabii mama L ......,.,,.. aliwafungisha ndoa ya siri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Twendeni tuka chukue pesa zao magamba hawana jipya kula kwa ccm kura kwa chadema
 
DSC07443.JPG DSC07442.JPG DSC07435.JPG DSC07437.JPG
Wadaganye matahira wenzako kwa mimi niliyekuwepo na wanao ifahamu ccm na chadema Arusha sahau, kwenye mkutano waufunguzi ilikuwa ni niabu kwa ccm kujivunia watu hao hata diwani wa chadema akiitisha mkutano hawezi komea watu hao lakini CCM mlikusanya mabalozi wote wa wilaya ya Arusha, meru na baazi ya viongozi wenu kutoka Monduli kulikuwa na Green Guard karibu 50 na watu kutoka kata husika hawakufika 50 nilishangaa magazeti yenu...
 
Back
Top Bottom