Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,748
- 50,169
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nchi yetu niya kidikiteta
Au nasema uongo ndgu zangu!!!!
Mwisho wa siku ni Polepole ndiye anayewapigia Simu watu usiku kuwauliza masuala ya kisera yanayostahili kuulizwa na Mawaziri!!Nileteeni Gwajima...
Nileteeni Gwajimaa....
Nileteeni Gwajimaaa.....
Kwani huyo Polepole siyo mbunge wa taifa?Sasa vurumai za kuwapata wabunge wote wale zilikuwa zina faida gani?
Ndiyo Ukweli WenyeweNchi yetu niya kidikiteta
Au nasema uongo ndgu zangu!!!!
CCM hawajui hata wanafanya nini?Pamoja na kuwa na wabunge zaidi ya 300 Bungeni, lakini kutokana na CCM kuwa na uchakavu, bado kinamhitaji Humphrey Polepole kupokea Simu za wananchi, ili kiweze kuisimamia Serikali.
AIBU SANA!!
Sugu Nisugue!!😏😏😏😏😶😶😑Nileteeni Gwajima...
Nileteeni Gwajimaa....
Nileteeni Gwajimaaa.....
Hapo ndipo shida ya mfumo mbaya wa utawala ilipo. Wabunge wa viti maalum! Uliwahi kusikia nchi gani nyingine kwenye sayari hii yenye mfumo huo? Huu ujinga ufike ukomo Sasa!Kwani huyo Polepole siyo mbunge wa taifa?
Ushamba na ulimbukeni wa madaraka tu, matokeo yake wanaingia gharama kubwa hadi kutenda jinai kutaka kuwaingiza wapinzani bungeni kwa mlango wa nyuma.Sasa vurumai za kuwapata wabunge wote wale zilikuwa zina faida gani?
Ni wa viti maalumKwani huyo Polepole siyo mbunge wa taifa?
Kwani huyo Polepole siyo mbunge wa taifa?
Kwanza tuulizane. Polepole zile Simu anapiga kwa nafasi yake ya Ubunge wa kuteuliwa ama kama Katibu Mwenezi wa CCM?Naona wana "saccos" wamechanganyikiwa hivyo kila siku watazusha jambo hata kama sio jambo
Hujui maana ya kusimamia. Kwa nini usimpigie Polepole umpe huu ushauri akupe naye maoni yake.Pamoja na kuwa na wabunge zaidi ya 300 Bungeni, lakini kutokana na CCM kuwa na uchakavu, bado kinamhitaji Humphrey Polepole kupokea Simu za wananchi, ili kiweze kuisimamia Serikali.
AIBU SANA!!