Kwa hamasa iliyoonekana katika mkutano uliohutubiwa na kamanda F.Mbowe mwenyekiti wa taifa CHADEMA hapa Vwawa,Mbozi,ccm itabwagwa hata kwa mbinu zozote watakazozitumia.Watu wa huku wameikataa ccm.Mikutano ya ccm inapuzwa na wananchi. Ccm ina harufu ya kifo.Kifo cha nyani kila tawi linateleza.Mbinu zote za ccm zimeshindwa.