Nasikitika sana jinsi hali ya amani inavyozidi kuhujumiwa kila kukicha na hakuna baba wa kukemea.
Kauli ya Nape ni kauli ambazo zinatakiwa kukemewa vikali katika kipindi hiki tata.Ubaguzi wa dhhili kwa watanzania ambao wameungana kutaka kuleta mabadiliko kama katiba inavyoruhusu.
Chama cha mapinduzi kinawajibika kukadhi madaraka kwa amani kwa kikundi kinginge kitakachopewa ridhaa na wananchi bila hujuma na kusabaisha wanachama wa ccm watakaoachishwa kazi na kura za wananchi waendelee na shughuli za kama kawaida ndani ya Tanzania.
Viongozi wa ccm hawatakiwi kuwarubuni watanzania kama hawana akili kuwa ccm pekee ndiyo kundi teule la kutufikisha katika mafanikio yetu.ubaguzi huu utawafanya watanzania wakatane mapanga kutetea ccm wakati ccm yenyewe imebakiwa na kundi dogo ambalo halina nguvu ya wananchi.
ccm itambue kuwa mapanga yakilia kwa kipenga chao marefa watambue kuwa kuna watanzania wataikimbia nchi, ccm ikipoteza dola kwa sababu ya kauli zao.
Nape atambue vyombo vya dola ni mali ya nchi siyo ya chama kama anavyodhani.kuondoka kwa ccm madarakani hakifuti katiba ya Tanzania.Hivyo kuvitia hofu vyombo vya dola visishirikiane na kundi la watanzania linalotambuliwa na katiba ni uhaini
Ccm watambue wakati wao wanacheza wanatumia muda mwingi kulinda walichonacho,wakati huohuo waliko nje wanangalia mapungufu yao na kuyatumia.Hivyo basi ni wajibu wao kuziba mianya hiyo ili kuhifadhi walichonacho.siyo kuwatemea mate wapinzani,mashabiki na waamuzi ili wasione madhaifu yenu.
Ccm iliandae jeshi la polisi kufanya kazi na vyama vyote kama linavyotakiwa na katiba.kwani hata polisi wanandugu zao waliko upinzani.Wasitake kulifanya jeshi liwachukie wananchi na wananchi waone kuwa jeshi la polisi ni kikwazo kwa mabadliko yao.
ccm itambue kumtumia Waziri wa mambo ya ndani kama ngao yao sio nusura yao.nini kilitokea kwa Omary mapuri.
bora uzungukwe na wananchi kuliko jeshi la polisi kwa hicho ni kikundi kidogo sana katika jamii.
Ccm itambue kuwatisha viongozi wa vyombo vya dola kuwa madaraka yao ni ya ccm huo ni uhaini pia, kwani dola ipo kwa mujibu wa katiba.Ingawa wanajibika kuilinda serikali ya wananchi na sio ya ccm.hivyo wananci wakisema chadema oyee,cuf oyee dola inalinda mali ya wananchi.
Ccm inaligawa Taifa kwa matamushi yasio na mjengo kama ya Nape kuwa watanzinia wanapanga kuwaua watanzania wenza na walinzi wao.Ccm imepotosha utendaji kazi wa polisi na kulifanya kama green guard.
Ccm itambue katika nchi nyingi uongozi ni wa kubadilishana leo Republican na kesho democratic kwa nchi kama marekani.hivyo ccm iwashukuru wananchi kwa kuaminiwa kwa miaka hamsini hivyo iwaache wakiwa kitu kimoja.
Mungu ibariki dunia,africa,TANZANIA iwe na mabadiliko yenye AMANI.
Kauli ya Nape ni kauli ambazo zinatakiwa kukemewa vikali katika kipindi hiki tata.Ubaguzi wa dhhili kwa watanzania ambao wameungana kutaka kuleta mabadiliko kama katiba inavyoruhusu.
Chama cha mapinduzi kinawajibika kukadhi madaraka kwa amani kwa kikundi kinginge kitakachopewa ridhaa na wananchi bila hujuma na kusabaisha wanachama wa ccm watakaoachishwa kazi na kura za wananchi waendelee na shughuli za kama kawaida ndani ya Tanzania.
Viongozi wa ccm hawatakiwi kuwarubuni watanzania kama hawana akili kuwa ccm pekee ndiyo kundi teule la kutufikisha katika mafanikio yetu.ubaguzi huu utawafanya watanzania wakatane mapanga kutetea ccm wakati ccm yenyewe imebakiwa na kundi dogo ambalo halina nguvu ya wananchi.
ccm itambue kuwa mapanga yakilia kwa kipenga chao marefa watambue kuwa kuna watanzania wataikimbia nchi, ccm ikipoteza dola kwa sababu ya kauli zao.
Nape atambue vyombo vya dola ni mali ya nchi siyo ya chama kama anavyodhani.kuondoka kwa ccm madarakani hakifuti katiba ya Tanzania.Hivyo kuvitia hofu vyombo vya dola visishirikiane na kundi la watanzania linalotambuliwa na katiba ni uhaini
Ccm watambue wakati wao wanacheza wanatumia muda mwingi kulinda walichonacho,wakati huohuo waliko nje wanangalia mapungufu yao na kuyatumia.Hivyo basi ni wajibu wao kuziba mianya hiyo ili kuhifadhi walichonacho.siyo kuwatemea mate wapinzani,mashabiki na waamuzi ili wasione madhaifu yenu.
Ccm iliandae jeshi la polisi kufanya kazi na vyama vyote kama linavyotakiwa na katiba.kwani hata polisi wanandugu zao waliko upinzani.Wasitake kulifanya jeshi liwachukie wananchi na wananchi waone kuwa jeshi la polisi ni kikwazo kwa mabadliko yao.
ccm itambue kumtumia Waziri wa mambo ya ndani kama ngao yao sio nusura yao.nini kilitokea kwa Omary mapuri.
bora uzungukwe na wananchi kuliko jeshi la polisi kwa hicho ni kikundi kidogo sana katika jamii.
Ccm itambue kuwatisha viongozi wa vyombo vya dola kuwa madaraka yao ni ya ccm huo ni uhaini pia, kwani dola ipo kwa mujibu wa katiba.Ingawa wanajibika kuilinda serikali ya wananchi na sio ya ccm.hivyo wananci wakisema chadema oyee,cuf oyee dola inalinda mali ya wananchi.
Ccm inaligawa Taifa kwa matamushi yasio na mjengo kama ya Nape kuwa watanzinia wanapanga kuwaua watanzania wenza na walinzi wao.Ccm imepotosha utendaji kazi wa polisi na kulifanya kama green guard.
Ccm itambue katika nchi nyingi uongozi ni wa kubadilishana leo Republican na kesho democratic kwa nchi kama marekani.hivyo ccm iwashukuru wananchi kwa kuaminiwa kwa miaka hamsini hivyo iwaache wakiwa kitu kimoja.
Mungu ibariki dunia,africa,TANZANIA iwe na mabadiliko yenye AMANI.