Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Ndugu zanguni kampeni zimefanywa kwa kiasi kikubwa ba zinaendelea ila kuna kila dalili ccm na kikwete wameshindwa kukata japo 1% ya kiu ya wat ya kuwa na maisha bora na watz wamekichoka chama hiki kizee na inaonesha ccm imekata tamaa na iko tayari kuachia uongozi wa nchi hii kwa amani na utulivu baada ya october 31.
MIAKA 50 BAADA YA UHURU INATOSHA SANA .TUNASHUKURU CCM KWA KUTUFIKISHA HAPA TULIPO . ACHIENI CHADEMA WATULETEE MABADILIKO YA KWELI.TUNAOMBA MUACHIE NCHI KWA AMANI.
MIAKA 50 BAADA YA UHURU INATOSHA SANA .TUNASHUKURU CCM KWA KUTUFIKISHA HAPA TULIPO . ACHIENI CHADEMA WATULETEE MABADILIKO YA KWELI.TUNAOMBA MUACHIE NCHI KWA AMANI.