Mwakiluma
Senior Member
- Jan 23, 2012
- 120
- 47
Ndugu wa Jf....
Sasa ni dhahiri kuwa dk. Slaa ametibua mbinu zote za kuiba kura zilizokuwa zikipangwa na CCM kule arumeru mashariki.Uzoefu unaonyesha kuwa kuna njia nyingi ambazo ccm wamekuwa wakizitumia katika kufanya wizi wa kura. Moja ya njia hizo ni kutumia chupa za chai na hotpot za vyakula.
Katika njia hizi hotpot na chupa za chai hupelekwa katika vyumba vya kuhesabia kura katika nyakati tofauti na watu huamini kuwa vile ni vyakula na chai wanavyopelewa wahesabuji wa kura.
Katika mbinu mawakala wengi hawaamini kuwa mle ndani ya hizo chupa na hotpot mnaweza kuwekwa karatasi zinazokuwa tayari zilishapigwa kwa chama cha CCM.
Hii mbinu ilitumika maeneo mengi katika uchaguzi wa 2010 kama vile jimbo la babati.
Mytake. CDM KUWENI MAKINI SANA NA MBINU HII.
Sasa ni dhahiri kuwa dk. Slaa ametibua mbinu zote za kuiba kura zilizokuwa zikipangwa na CCM kule arumeru mashariki.Uzoefu unaonyesha kuwa kuna njia nyingi ambazo ccm wamekuwa wakizitumia katika kufanya wizi wa kura. Moja ya njia hizo ni kutumia chupa za chai na hotpot za vyakula.
Katika njia hizi hotpot na chupa za chai hupelekwa katika vyumba vya kuhesabia kura katika nyakati tofauti na watu huamini kuwa vile ni vyakula na chai wanavyopelewa wahesabuji wa kura.
Katika mbinu mawakala wengi hawaamini kuwa mle ndani ya hizo chupa na hotpot mnaweza kuwekwa karatasi zinazokuwa tayari zilishapigwa kwa chama cha CCM.
Hii mbinu ilitumika maeneo mengi katika uchaguzi wa 2010 kama vile jimbo la babati.
Mytake. CDM KUWENI MAKINI SANA NA MBINU HII.