CCM kutotumia helikopta Arumeru mashariki

CCM kutotumia helikopta Arumeru mashariki

BigMan

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2007
Posts
1,096
Reaction score
135
chama cha mapinduzi hakitatumia helikopta katika uchaguzi wa arumeru mashariki,nimeongea na kiongozi mmoja amenidokeza kuwa hali hiyo inatokana na uchaguzi huo kuwa laini mara hamsini ya ule wa igunga.tayari wana madiwani wote 17 wa kata na wengine saba wa viti maalumu,wanawenyeviti wote wa vijiji vilivyoko jimboni humo na pia wana mabalozi.lakini jamaa wanapiga kampeni kisayansi sana kwani hivi sasa wamesambaza makada wao katika vijiji vyote na wanapiga kampeni za nyumba kwa nyumba na kuongea na wapiga kura kwa ushawishi wa hali juu anaeleza mikutano ya hadhara hutoa uhakika wa ushindi wa asilimia thelathini tu lakini pia anabainisha kuwa idadi kubwa ya wapiga kura ni wazee na wanawake ambao asilimia tisini ni wa kwao huku idadi kubwa ya vijana ikiwa haimo ndani ya daftari la wapiga kura kwa kifupia anasema kuwa kuvuta watu kwa helikopta hakuto taswira halisi ya wahudhuriaji
 
chama cha mapinduzi hakitatumia helikopta katika uchaguzi wa arumeru mashariki,nimeongea na kiongozi mmoja amenidokeza kuwa hali hiyo inatokana na uchaguzi huo kuwa laini mara hamsini ya ule wa igunga.tayari wana madiwani wote 17 wa kata na wengine saba wa viti maalumu,wanawenyeviti wote wa vijiji vilivyoko jimboni humo na pia wana mabalozi.lakini jamaa wanapiga kampeni kisayansi sana kwani hivi sasa wamesambaza makada wao katika vijiji vyote na wanapiga kampeni za nyumba kwa nyumba na kuongea na wapiga kura kwa ushawishi wa hali juu anaeleza mikutano ya hadhara hutoa uhakika wa ushindi wa asilimia thelathini tu lakini pia anabainisha kuwa idadi kubwa ya wapiga kura ni wazee na wanawake ambao asilimia tisini ni wa kwao huku idadi kubwa ya vijana ikiwa haimo ndani ya daftari la wapiga kura kwa kifupia anasema kuwa kuvuta watu kwa helikopta hakuto taswira halisi ya wahudhuriaji

mpe hai mwigulu chemba,vp huko nako kafanikiwa kumpata mke wa kada wa magamba au mambo magumu?
 
chama cha mapinduzi hakitatumia helikopta katika uchaguzi wa arumeru mashariki,nimeongea na kiongozi mmoja amenidokeza kuwa hali hiyo inatokana na uchaguzi huo kuwa laini mara hamsini ya ule wa igunga.tayari wana madiwani wote 17 wa kata na wengine saba wa viti maalumu,wanawenyeviti wote wa vijiji vilivyoko jimboni humo na pia wana mabalozi.lakini jamaa wanapiga kampeni kisayansi sana kwani hivi sasa wamesambaza makada wao katika vijiji vyote na wanapiga kampeni za nyumba kwa nyumba na kuongea na wapiga kura kwa ushawishi wa hali juu anaeleza mikutano ya hadhara hutoa uhakika wa ushindi wa asilimia thelathini tu lakini pia anabainisha kuwa idadi kubwa ya wapiga kura ni wazee na wanawake ambao asilimia tisini ni wa kwao huku idadi kubwa ya vijana ikiwa haimo ndani ya daftari la wapiga kura kwa kifupia anasema kuwa kuvuta watu kwa helikopta hakuto taswira halisi ya wahudhuriaji

Well done CCM, ningewashangaa sana kutumia helikopta na nyie. Mmeonyesha nyie kweli ni strategist na mna uzoefu kwenye medani ya siasa. Na hapa ndipo yaonyesha tofauti ya kipofu (cdm) na anae ona (ccm).
 
Well
done CCM, ningewashangaa sana kutumia helikopta na nyie. Mmeonyesha
nyie kweli ni strategist na mna uzoefu kwenye medani ya siasa. Na hapa
ndipo yaonyesha tofauti ya kipofu (cdm) na anae ona
(ccm).

hata hivyo helikopta was not an original idea of CCM.
 
Well done CCM, ningewashangaa sana kutumia helikopta na nyie. Mmeonyesha nyie kweli ni strategist na mna uzoefu kwenye medani ya siasa. Na hapa ndipo yaonyesha tofauti ya kipofu (cdm) na anae ona (ccm).

Ukipenda chongo huita kengeza. Najua kama CCM wangetumia helkopta ungewasifia kwa sababu wewe ndiyo wewe.
 
Well done CCM, ningewashangaa sana kutumia helikopta na nyie. Mmeonyesha nyie kweli ni strategist na mna uzoefu kwenye medani ya siasa. Na hapa ndipo yaonyesha tofauti ya kipofu (cdm) na anae ona (ccm).

point less,igunga atukusimamisha mgombea 2010 tuliposimamisha 2011 nin kilisababisha na nyie mpeleke chopa..sisiem time will tell wapo rafiki zangu wengi wapo makumira na uoa wanasema makad wa magambaz wanawalazmisha wakusanye vtambulisho wapewe elfu10 shame on u magambz.mtaibia wajinga ila mda unakuja.
 
point less,igunga atukusimamisha mgombea 2010 tuliposimamisha 2011 nin kilisababisha na nyie mpeleke chopa..sisiem time will tell wapo rafiki zangu wengi wapo makumira na uoa wanasema makad wa magambaz wanawalazmisha wakusanye vtambulisho wapewe elfu10 shame on u magambz.mtaibia wajinga ila mda unakuja.

Trh 1 April lazima tukuinamishe halafu tutajua tutakufanya nn baada ya hapo
 
Ukipenda chongo huita kengeza. Najua kama CCM wangetumia helkopta ungewasifia kwa sababu wewe ndiyo wewe.

CCM wana mtaji mkubwa sana Arumeru, madiwani wote ni CCM hapo ww bado hujafunguka macho tu mpz wangu mzuri, laazizi na barafu wa moyo wangu !
 
Ccm wasitumie helcopter au watumie,watumie vx au watembee kwa miguu, wawe na madiwani wengi au wenyeviti wenyeviti wa vijiji wengi haijalishi.biashara ya kupata ubunge arumeru mashariki imewakata, 2015 chadema inachukua nchi.magamba wajiandae kuwekwa ndani.
 
CCM wana mtaji mkubwa sana Arumeru, madiwani wote ni CCM hapo ww bado hujafunguka macho tu mpz wangu mzuri, laazizi na barafu wa moyo wangu !
Hata CUF walikuwa na mtaji Igunga lakini waliula. Wazee wa Kishiri jana walitoka na bonge la povu kuwa peoples power ni hatari, eti hadi watoto wao wamewageka wanawaonyesha vidole viwili tu kila wanakopita.

Kuonyesha kuwa wewe na CCM yako ni wehu hamsemi kuwa sera gani zitawasaidia kushinda zaidi ya kusingizia wazee tu. Hiki chama chenu inaonekana mmeishakuwa washirikina
 
CCM wana mtaji mkubwa sana Arumeru, madiwani wote ni CCM hapo ww bado hujafunguka macho tu mpz wangu mzuri, laazizi na barafu wa moyo wangu !

CCM walitepeta Mwanza 2010 pamoja na kuwa na mabalozi,wenyeviti wa mitaa na madiwani.
 
Hata CUF walikuwa na mtaji Igunga lakini waliula. Wazee wa Kishiri jana walitoka na bonge la povu kuwa peoples power ni hatari, eti hadi watoto wao wamewageka wanawaonyesha vidole viwili tu kila wanakopita.

Kuonyesha kuwa wewe na CCM yako ni wehu hamsemi kuwa sera gani zitawasaidia kushinda zaidi ya kusingizia wazee tu. Hiki chama chenu inaonekana mmeishakuwa washirikina

Igunga mlijaza watu hivyo hivyo kwenye mikutano ila wapiga kura wengi wa Arumeru ni wazee na wanawake, vijana wengi walioko kwenye kampeni zenu sio wapiga kura. Ukisoma hapo utajua tayari cdm na ww tunawainamisha chini na tutakacho wafanya baada ya hapo tutawaambia
 
ssm Time will tell walasiku sio nyingi inamaana hao vijana ndiyo hawataandikishwa kabisa we subiri kwani 2015 mbali
:violin:
 
well done ccm, ningewashangaa sana kutumia helikopta na nyie. Mmeonyesha nyie kweli ni strategist na mna uzoefu kwenye medani ya siasa. Na hapa ndipo yaonyesha tofauti ya kipofu (cdm) na anae ona (ccm).

kwishinei,mwaweza kumuiga tembo nyie vijisungura!utapasuka --------------------o.
 
Watatumiaje helcopta katika JIMBO ambalo wanajua kabisa kwamba watashindwa...ccm hawataki kupoteza hela zao bure na kwa hili nawapongeza magamba kwa mara ya kwanza....BIG UP SANA....
 
chama cha mapinduzi hakitatumia helikopta katika uchaguzi wa arumeru mashariki,nimeongea na kiongozi mmoja amenidokeza kuwa hali hiyo inatokana na uchaguzi huo kuwa laini mara hamsini ya ule wa igunga.tayari wana madiwani wote 17 wa kata na wengine saba wa viti maalumu,wanawenyeviti wote wa vijiji vilivyoko jimboni humo na pia wana mabalozi.lakini jamaa wanapiga kampeni kisayansi sana kwani hivi sasa wamesambaza makada wao katika vijiji vyote na wanapiga kampeni za nyumba kwa nyumba na kuongea na wapiga kura kwa ushawishi wa hali juu anaeleza mikutano ya hadhara hutoa uhakika wa ushindi wa asilimia thelathini tu lakini pia anabainisha kuwa idadi kubwa ya wapiga kura ni wazee na wanawake ambao asilimia tisini ni wa kwao huku idadi kubwa ya vijana ikiwa haimo ndani ya daftari la wapiga kura kwa kifupia anasema kuwa kuvuta watu kwa helikopta hakuto taswira halisi ya wahudhuriaji

Hivi CCM mtapapopigwa chini maadam hakuna mkataba wa ushindi na mwenyewe Mungu mtalia kilio gani?? Sometimes sifa zinaua
 
Nimesikia vijana wengi wa Arumeru wanafanya biashara Arusha mjini na wengi walijiandikisha Arusha kwa mwaka 2010 ili wamsaidie Lema.

Toka 2010 hakuna uandikishaji uliofanywa kwenye daftari la wapiga kura.

Pia wanafunzi wa chuo kikuu ni wale wa mwaka wa tatu tu ndio walijiandikisha Arumeru, wengine wote hawataweza kupiga kura Arumeru.
 
Back
Top Bottom