sio siri chadema ni wapuuzi sana tuliwaambia Iramba siojimbo la kukurupuka,wakaweka nyuzi kibao humu wakiuhadaa umma kuwa wameimaliza ccm Iramba kupitia Bananga,sisi tunaojua nguvu za ccm tukasema subirini,Upuuzi wa chadema na Uibilisi wao ni pale wanapopiga propaganda sana za kutaka umma uamini wao ndo wanakubalika kumbe uhuni tuu
Sasa wameona maji shingoni wanakuja na ujinga wao kuwa Kuna mabox yamewekewa kura kuiba kura acheni ushenzi wenu wakutaka kuleta machafuko,Iramba mmekataliwaa,na hakika hata tundu lisu anapoteza Kata subirini muone.tatizo mnapiga propaganda sana za kijinga,mnalishana ujinga humu wakati ukweli mnahali mbaya acheni huu ushenzi