CCM: Kumpinga Mwenyekiti ni uhaini

CCM: Kumpinga Mwenyekiti ni uhaini

Naruida tena kusema, WANAMPINGA MWENYEKITI WAO MAGAMBA NA SIO RAIS, Haijalishi kama huyo MWENYEKIT NI RAIS PIA, Acha Ubweg.e

Kwani Rais Thabo Mbeki aliangushwa vipi? na Jacob Zuma? Zuma Aligombea uRais wa ANC katika uchaguzi 2009 na Rais Mbeki na Bwana Zuma akashinda hiyo ndo demokrasia ni haki ya kila mwanachama wa CCM kugombea kama anaona nia na uwezo anao tena ingekuwa demokrasia nzuri sana After all Kikwete Uenyekitin wa nini? wakati muda wake wa Urais unaisha 2015, ni wakati wa kurelease presure za uongozi na kuacha FIKRA MPYA ZA KUJENGA CHAMA NA TAIFA
 
kuna kitu najitahidi kujifunza kupitia maoni yako , ila nahisi haujatumwa sema unaonekana ungekuwa wa kike wangekusuta zamani Sana. Vaa akili zako ndugu acha utumwa utaishi kwa raha sana .

Hivi hapa nimevaa akili za nani vile, nikumbushe nimesahau.
 
Back
Top Bottom