Mkusa
JF-Expert Member
- Dec 14, 2010
- 548
- 209
Wana Bodi,
Kila Mara nimekuwa nikijuliza hivi CCM suala la Demokrasia wanamhubiria nani ilhal wao wenyewe hata Maana ya hilo Neno hawaijui na wala hawajui kuishi katika hilo.
Kwenye maandalizi ya Uchaguzi wao wa Mwenyekiti kwanza sijasikia ni lini fomu za kuwania nafasi hiyo zilitangazwa kuanza kugawiwa, sijasikia hata sehemu inayomnukuu Mkwe.re kwenda kuchukua form hizo wala kujinadi na kuomba kupewa Nafasi hiyo
Mbaya zaid kuna vijana eti wameapa kumlinda JK kwa Gharama yeyote ili awe mwenyekiti.
Ni nini kutumia Nguvu Nyingi kumlinda mtu ambaye wanadhani anakubalika kwa madai yao??????
From Mwananchi
Important
Kwenye Uchaguzi wa CDM, Tukisikia Mwana CCM yeyote ana benua mdomo Kike Kike na kutia Neno Lolote, Naapa tuta Zaa NAE
Kila Mara nimekuwa nikijuliza hivi CCM suala la Demokrasia wanamhubiria nani ilhal wao wenyewe hata Maana ya hilo Neno hawaijui na wala hawajui kuishi katika hilo.
Kwenye maandalizi ya Uchaguzi wao wa Mwenyekiti kwanza sijasikia ni lini fomu za kuwania nafasi hiyo zilitangazwa kuanza kugawiwa, sijasikia hata sehemu inayomnukuu Mkwe.re kwenda kuchukua form hizo wala kujinadi na kuomba kupewa Nafasi hiyo
Mbaya zaid kuna vijana eti wameapa kumlinda JK kwa Gharama yeyote ili awe mwenyekiti.
Ni nini kutumia Nguvu Nyingi kumlinda mtu ambaye wanadhani anakubalika kwa madai yao??????
From Mwananchi
Kwa upande wao wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kupitia kundi la vijana, walisema kuwa watamlinda kwa gharama yoyote Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete pamoja na kuhakikisha kuwa anapata kura zote za ‘ndiyo.' Mbali na hilo, vijana hao walisema kuwa watafanya kila njia kumsaka mtu aliyetengeneza vipeperushi hivyo vinavyosambazwa dhidi ya mwenyekiti wao, Rais Jakaya Kikwete.
Wajumbe hao saba kati ya kumi waliitisha mkutano na waandishi wa habari katika Ofisi za CCM Mkoa wa Dodoma na kutoa tamko hilo, huku wakieleza kuwa hawatalala hadi watakapoona mwenyekiti wao akiibuka na ushindi wa kishindo.
"Sisi ndiyo jeshi la chama. Itakuwa ni aibu kama mwenyekiti wetu atakuwa akidhalilishwa kwa kupata kura chache, ilhali nasi tupo. Lazima kuwaaibisha watu wa aina hiyo na kuwasaka popote walipo. Tunaomba vijana wenzetu watuamini kuwa tuko Dodoma kufanya kazi hiyo," alisema Jery Silaa kwa niaba ya wenzake.
Important
Kwenye Uchaguzi wa CDM, Tukisikia Mwana CCM yeyote ana benua mdomo Kike Kike na kutia Neno Lolote, Naapa tuta Zaa NAE