😆😆😆😆😆Acha uongo wewe nani akupenyezee ujinga huo leo hii umeshaanza kuwaona akina Makamba na Kinana wa maana sio,nyie Chadema mna matatizo ya Makamba na Kinana waachie wenyewe wewe pambana na yenu huko kwenye SACCOS ya Kaskazini
ugonile mwandambo .
- The little things you do when no one is watching determine what you will become when everyone is watching.
Ughonile nkamu ghwanguugonile mwandambo .
CHADEMA inamatatizo mengi sana tofauti na unayoyakazaniaWakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja yangu.
Nimepenyezewa taarifa iliyovuja kuhusu mkakati wa CCM wa kuwapanga wabunge kadhaa wanaofikia 25 akiwemo aliyetaka muda wa urais uongezwe , ambao kwa kufuatana watapokezana kuwatukana na kuwadhalilisha wazee wa CCM asilia , hii imetokea baada ya mkakati wa kwanza wa kuwarundika rumande wazee wastaafu kubuma , Taarifa za awali zinaonyesha kwamba tayari wabunge watatu kutoka kwenye kundi la CCM wamekwisha timiza walichotumwa .
Nzi wangu yupo STAND BY akiendelea kudaka kila kinachopangwa .
Mungu ibariki JF
Baba ukiguswa kwenye emotions zako lazima utasema tuKwa mara ya kwanza nimamini nilikuwa najidanganya kuhusu Mzee Kinana! Yale macho yake madogo yenye nuru kali, tabia yake ya kuongea kwa steps, utu uzima wake...nk nilidhani ni mtu intelligent kumbe wapi....
Pongezi kwa bashe...Na wenyewe waandae wabunge mia wa kuwatetea
Usivhojua ni kwamba tume ya uchaguzi ni ccmHizi thread zenu Mngekuwa mna zianzisha kudai tume huru ya uchaguzi mngeisaidia sana Chadema kuliko huu upupu.
Ikulu ni mzigo - JK NYEREREKiburi cha magufuli,kinampoteza
Kuheshimiana wakati tayari mipango ya kuwakamata wazee inapangwa !Hakuna sababu ya kukuza mambo, kusemana nikitu chakawaida bahati mbaya mawasiliano na uhuru wa kusema unachangia ugumu wa mambo, tunaimani na kiongozi watu, pia na wazee wananafasi zao lazima wataheshimiwa huu ndiyo utamaduni Bora wa kujenga nchi
Kwa mara ya kwanza nimamini nilikuwa najidanganya kuhusu Mzee Kinana! Yale macho yake madogo yenye nuru kali, tabia yake ya kuongea kwa steps, utu uzima wake...nk nilidhani ni mtu intelligent kumbe wapi....