CCM kumekucha ! Wabunge zaidi ya 20 waandaliwa kuwatukana Kinana na Makamba

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,365
217,405
Wakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja yangu.

Nimepenyezewa taarifa iliyovuja kuhusu mkakati wa CCM wa kuwapanga wabunge kadhaa wanaofikia 25 akiwemo aliyetaka muda wa urais uongezwe , ambao kwa kufuatana watapokezana kuwatukana na kuwadhalilisha wazee wa CCM asilia , hii imetokea baada ya mkakati wa kwanza wa kuwarundika rumande wazee wastaafu kubuma , Taarifa za awali zinaonyesha kwamba tayari wabunge watatu kutoka kwenye kundi la CCM wamekwisha timiza walichotumwa .

Nzi wangu yupo STAND BY akiendelea kudaka kila kinachopangwa .

Mungu ibariki JF
 
Wakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye hoja yangu.

Nimepenyezewa taarifa iliyovuja kuhusu mkakati wa ccm academia wa kuwapanga wabunge kadhaa wanaofikia 25 akiwemo aliyetaka muda wa urais uongezwe , ambao kwa kufuatana watapokezana kuwatukana na kuwadhalilisha wazee wa ccm asilia , hii imetokea baada ya mkakati wa kwanza wa kuwarundika rumande wazee wastaafu kubuma , Taarifa za awali zinaonyesha kwamba tayari wabunge watatu kutoka kwenye kundi la ccm academia wamekwisha timiza walichotumwa .

Nzi wangu yupo STAND BY akiendelea kudaka kila kinachopangwa .

Mungu ibariki JF
.....maendeleo hayana vyama!!
 

Attachments

  • Marafiki zangu wawili ni madaktari wasomi ambao ni Dr David Gululi na Dr Christo ( 270 X 480 ).mp4
    569.5 KB
Sidhani kama kuna mbunge aliyeandaliwa kwaajili ya kazi hiyo
mambo mengine hata hayahitaji kuwa na Elimu kubwa kwazsababu ni vitu ambavyo viko wazi na vinaonekana
mfano ule waraka au voice note hakuna ambaye hajaiskia
watulie tu maana hakuna namna
ukiwa mchokozi ujue na kupigana ni hayo tu
 
Natamani wavuane nguo kabisa hadharani tuoni nanii zao..
Wote hawa ni washirika wa Tanzania ilipofikia sasa. Wanaosema tumeibiwa sana, walikuwa sehemu ya waizi ambao sasa wanalalamika, wazi nao wanadai ndo waliwafikisha hawa wanaosema tumeibiwa sana hapo walipo. Je tukiwahoji wao ni wasafi, boti, nyumba barabara, maamuzi ya hasara kama vile ya masamaki.
Wakivurugana na kusambaratika ndo utajiri na usalama wa Taifa.
 
Back
Top Bottom