youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Tuwe wawazi jamani, wakati kampeni zinaanza kulikuwa na vijana kibao humu ndani ambao walikuwa wanaitetea ccm, hasa humu Jamii Forums,
Lakini kwa sasa siwaoni tena, zaidi ninachokiona ni habari za Ukawa wakizidi kufanya mabadiliko.
#hapamabadilikotu , kazi kwa muhindi.
Mkoa wa Dar naona ccm ndo imezima kabisaa, sijui labda mikoa mingine.
Lakini kwa sasa siwaoni tena, zaidi ninachokiona ni habari za Ukawa wakizidi kufanya mabadiliko.
#hapamabadilikotu , kazi kwa muhindi.
Mkoa wa Dar naona ccm ndo imezima kabisaa, sijui labda mikoa mingine.